Tag: Covid-19
COVID-19: Wagonjwa 14 wafariki Kenya idadi jumla ya walioaga dunia ikifika 1,545
Na CHARLES WASONGA WAGONJWA 14 zaidi walifariki Jumanne kutokana na Covid-19, siku moja baada ya idadi ya vifo kutokana na ugonjwa huo...
COVID-19: Idadi ya visa vipya na vifo yarudi chini kiasi Jumatatu
Na CHARLES WASONGA KENYA Jumatatu kwa mara ya kwanza imeandikisha idadi ndogo ya vifo na visa vipya vya Covid-19 ndani ya kipindi cha...
COVID-19: Idadi jumla ya vifo nchini Kenya yafika 1,452
Na CHARLES WASONGA IDADI ya watu waliofariki kutokana na Covid-19 Jumapili ilipanda hadi kufika 1,452 baada ya wagonjwa saba zaidi...
COVID-19: Wagonjwa 14 wathibitishwa kufariki Kenya idadi jumla ya walioangamia ikifika 1,131
Na CHARLES WASONGA WAGONJWA 14 zaidi walithibitishwa kufariki Jumapili kutokana na Covid-19 na hivyo kufikisha idadi jumla ya...
Hofu vifo kutokana na Covid-19 vikiendelea kuthibitishwa
Na CHARLES WASONGA KENYA Alhamisi iliendelea kuandikisha idadi kubwa ya watu wanaofariki kutokana na Covid-19 baada ya wagonjwa 17 zaidi...
COVID-19: Idadi jumla ya vifo vilivyothibitishwa nchini Kenya ni 1,103
Na CHARLES WASONGA WAGONJWA wengine 10 wamethibitishwa kufariki nchini Kenya kufikia jana Jumamosi kutokana na Covid-19 na hivyo...
Covid: Hofu ya vifo kuongezeka kaunti yatanda
Na WAANDISHI WETU VIONGOZI wa Kiislamu katika Kaunti ya Mombasa wamewaonya wakazi waache kukana kuwa hakuna ugonjwa wa Covid-19,...
Mwanzoni vijana wengi walikuwa na mtazamo potovu na hawakutishika na Covid-19, yasema ripoti
Na DIANA MUTHEU ASILIMIA kubwa ya vijana walikuwa na mtazamo kuwa hawangeambukizwa na maradhi ya Covid-19, ripoti moja...
COVID-19: Visa vipya ni 724 huku watu 14 wakifariki
Na SAMMY WAWERU VISA vipya vya Covid-19 katika kipindi cha saa 24 zilizopita ni 724 kutoka kwa sampuli 5,085 asilimia ya maambukizi...
Maseneta Kenya wafahamishwa wafungwa 1,700 wamepatikana na Covid-19
Na CHARLES WASONGA JUMLA wa wafungwa 1,700 wamepata maambukizi ya virusi vya corona tangu kisa cha kwanza kiliporipotiwa nchini mnamo...
COVID-19: Idadi ya visa vya maambukizi yazidi kuwa ya juu
Na CHARLES WASONGA IDADI ya watu waliofariki kutokana na Covid-19 imepanda hadi 858 baada ya wagonjwa 16 zaidi kufikia Jumatano, Wizara...
COVID-19: Wagonjwa 13 wafariki idadi jumla ya walioaga dunia nchini Kenya ikigonga 682
Na CHARLES WASONGA WAGONJWA 13 zaidi wamefariki kutokana na Covid-19 huku visa 218 vipya vya maambukizi ya ugojwa huo vikinakiliwa...