• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 7:55 AM

SEKTA YA ELIMU: Mageuzi yanahitajika katika elimu ya vyuo vikuu ili ikidhi mahitaji ya kiajira

Na CHARLES WASONGA VYUO vikuu vya humu nchini vimelaumiwa kwa kuzalisha wahitimu wasio na ujuzi hitajika katika soko la ajira...

PhD: JKUAT yatoa msimamo wake

Na LAWRENCE ONGARO CHUO Kikuu cha Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology (JKUAT), kimetoa taarifa yake kuhusu msimamo...

Maelfu hatarini kupigwa kalamu vyuoni

Na OUMA WANZALA MAELFU ya wahadhiri na wafanyakazi wa vyuo vikuu wako katika hatari ya kufutwa kazi baada ya wanafunzi waliohitimu...

SEKTA YA ELIMU: Yakini, ufichuzi kwamba baadhi ya kozi vyuoni hazifai wavunja moyo

Na CHARLES WASONGA MATOKEO ya Mtihani wa Kitaifa wa Kidato cha Nne (KCSE) yanapotangazwa kila mwaka, hamu kubwa ya wazazi wa watahiniwa...