Tag: dau la maisha
- by adminleo
- November 2nd, 2019
DAU LA MAISHA: Anafinyanga vijana kitabia na kabumbu
Na PAULINE ONGAJI ANATUMIA soka kuwapa matumaini watoto wanaoishi katika mazingira ambapo kuna changamoto ya kujiendeleza kutokana na...
- by adminleo
- October 12th, 2019
DAU LA MAISHA: Ni mpasuaji pekee wa kike wa kansa ya titi
Na PAULINE ONGAJI KATIKA taaluma inayotawaliwa na wanaume, amejijenga himaya kubwa si haba. Kutana na Dkt Miriam Mutebi, mpasuaji...
- by adminleo
- September 28th, 2019
DAU LA MAISHA: Awafanyia ukarimu chokoraa mtaani
Na PAULINE ONGAJI KWA miaka minne sasa amejitwika jukumu la kusaidia watoto wanaorandaranda mitaani. Devian Kwamboka ameifanya kazi...
- by adminleo
- September 21st, 2019
DAU LA MAISHA: Alisha familia kwa kuunda majeneza
Na PAULINE ONGAJI SIO wengi wanaotaka kufanya kazi au huduma zinazohusishwa na mauti. Na hasa kwa wanawake, ni wachache ambao wako...
- by adminleo
- September 14th, 2019
DAU LA MAISHA: Usimuone mdogo wa mwili ukamdharau…
Na PAULINE ONGAJI AMEKIUKA dhana potovu za kijinsia na kujitosa katika taaluma ambayo kwa wengi, imehifadhiwa wanaume. Kutana na...
- by adminleo
- September 7th, 2019
DAU LA MAISHA: Si kazi ya kawaida ila inafaidi jamii pakubwa
Na PAULINE ONGAJI AMEKUWA kimbilio la akina mama wengi wanaokumbwa na matatizo ya kunyonyesha baada ya kujifungua. Kwa takriban...
- by adminleo
- August 31st, 2019
DAU LA MAISHA: Utunishaji misuli wampa tonge la siku
Na PAULINE ONGAJI AMEITAMBULISHA Kenya katika ulimwengu wa utunishaji misuli kimataifa ambapo mapema mwezi huu alituzwa taji la bingwa...
- by adminleo
- August 24th, 2019
DAU LA MAISHA: Nesi wa kwanza nchini kushughulikia saratani
Na PAULINE ONGAJI ALIKUWA muuguzi wa kwanza wa nchini kuweka zingatio katika uuguzi wa maradhi ya kansa. Ana uzoefu wa zaidi ya...
- by adminleo
- August 17th, 2019
DAU LA MAISHA: Sio muuguzi ila wengi wapona kupitia kwake
Na PAULINE ONGAJI ANAWAPA matumaini wanawake wanaokumbwa na Gigantomastia, hali isiyo ya kawaida ambapo matiti hukua kupindukia na...
- by adminleo
- August 10th, 2019
DAU LA MAISHA: Mafanikio ni bidii ya mtu, yake sasa inalipa
Na PAULINE ONGAJI KWA wengi, ukaguzi wa hesabu ni mojawapo ya taaluma zinazohitaji utaalamu wa kipekee ambao kwa kawaida unatokana na...
- by adminleo
- July 27th, 2019
DAU LA MAISHA: Atumia taji la urembo kuboresha jamii yake
Na PAULINE ONGAJI ANATUMIA urembo wake kuboresha maisha ya watoto wanaoishi na ugonjwa wa kiakili au Tawahudi (autism) hali ambapo...
- by adminleo
- July 20th, 2019
DAU LA MAISHA: Anapalilia talanta za watoto wadogo
Na PAULINE ONGAJI KULINGANA na tafiti nyingi, vipaji vingi hutambulika mtoto akiwa katika umri mdogo Hii ni sababu kuu ambayo...