• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 3:03 PM

AGUERO: Wachezaji wanaogopa kurejelea EPL

Na CHRIS ADUNGO MFUMAJI wa Manchester City nchini Uingereza, Sergio Aguero, amesema kwa wachezaji ‘wanahofia’ kurejea uwanjani...

Shinikizo EPL ikamilike Juni 30

Na CHRIS ADUNGO WASIMAMIZI wa klabu za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) wanatarajiwa kujadili kuhusu athari za kuwawekea waendeshaji wa...

Wito EPL irejelewe baada ya wachezaji wote kupimwa corona

Na CHRIS ADUNGO AFISA Mkuu Mtendaji wa Chama cha Wakufunzi wa Ligi Kuu ya Uingereza (LMA), Richard Bevan, ametaka kipute hicho kurejelewa...

WAZITO WA ULAYA: Manchester City ina kikosi cha wanasoka ghali zaidi

Na MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester City ndiyo iliyo na kikosi cha wanasoka ghali zaidi barani Ulaya, ripoti ya...

Klabu za EPL kupiga abautani kuhusu kufunga kipindi cha uhamisho mapema

Na GEOFFREY ANENE na MASHIRIKA UINGEREZA ilikuwa nchi ya kwanza kuamua kufunga kipindi chake kirefu cha uhamisho kabla ya Ligi Kuu (EPL)...

MAJOGOO EPL HATARINI: Huenda timu kubwa zilizozoea kumaliza sita bora zikajikuta matatani

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza SIKU chache tu baada ya msimu wa ligi kuu ya Uingereza (EPL) kuanza, kuna madai kwamba huenda timu...

REDS MAVIZIONI: Liverpool wala tupa kukata Norwich EPL

Na MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA LIGI Kuu ya Uingereza ya msimu wa 2019-2020 inang’oa nanga leo Ijumaa, huku mabingwa wa Bara Ulaya,...

Bora tu Man United wako nyuma yetu EPL, tuna raha duniani, mashabiki wa Arsenal wasema

Na MWANGI MUIRURI MWENYEKITI wa mashabiki wa timu ya ligi kuu ya Uingereza, Arsenal katika Kaunti ya Murang’a James Nduati anawataka...

Msimu wa ligi kuu za soka Ulaya watarajiwa kusisimua biashara nchini

Na MWANGI MUIRURI HUKU Ligi kuu za kandanda hasa Ulaya zikitarajiwa kuanza rasmi msimu mpya wiki chache zijazo, wawekezaji katika sekta...

Steve Bruce achukua mikoba ya Benitez Newcastle

NA CECIL ODONGO NEWCASTLE United Jumatano ilimteua kocha mahiri Steve Bruce kama mkufunzi wake kwenye mkataba wa miaka mitatu, hii ni...

Giroud ajitapa atakavyotesa makipa baada ya ujio wa Lampard

NA CECIL ODONGO BAADA ya kutinga mabao mawili kwenye ushindi wa 4-0 dhidi ya St Patrick FC Jumamosi Julai 13 2019, mshambulizi wa...

Straika wa TZ amezewa mzte EPL

Na GEOFFREY ANENE Mshambuliaji matata wa Tanzania, Mbwana Samatta yuko juu ya orodha ya silaha zinazotafutwa na klabu ya Brighton &...