Tag: epl
- by adminleo
- May 1st, 2020
AGUERO: Wachezaji wanaogopa kurejelea EPL
Na CHRIS ADUNGO MFUMAJI wa Manchester City nchini Uingereza, Sergio Aguero, amesema kwa wachezaji ‘wanahofia’ kurejea uwanjani...
- by adminleo
- April 19th, 2020
Shinikizo EPL ikamilike Juni 30
Na CHRIS ADUNGO WASIMAMIZI wa klabu za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) wanatarajiwa kujadili kuhusu athari za kuwawekea waendeshaji wa...
- by adminleo
- April 11th, 2020
Wito EPL irejelewe baada ya wachezaji wote kupimwa corona
Na CHRIS ADUNGO AFISA Mkuu Mtendaji wa Chama cha Wakufunzi wa Ligi Kuu ya Uingereza (LMA), Richard Bevan, ametaka kipute hicho kurejelewa...
- by adminleo
- September 11th, 2019
WAZITO WA ULAYA: Manchester City ina kikosi cha wanasoka ghali zaidi
Na MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester City ndiyo iliyo na kikosi cha wanasoka ghali zaidi barani Ulaya, ripoti ya...
- by adminleo
- September 3rd, 2019
Klabu za EPL kupiga abautani kuhusu kufunga kipindi cha uhamisho mapema
Na GEOFFREY ANENE na MASHIRIKA UINGEREZA ilikuwa nchi ya kwanza kuamua kufunga kipindi chake kirefu cha uhamisho kabla ya Ligi Kuu (EPL)...
- by adminleo
- August 22nd, 2019
MAJOGOO EPL HATARINI: Huenda timu kubwa zilizozoea kumaliza sita bora zikajikuta matatani
Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza SIKU chache tu baada ya msimu wa ligi kuu ya Uingereza (EPL) kuanza, kuna madai kwamba huenda timu...
- by adminleo
- August 9th, 2019
REDS MAVIZIONI: Liverpool wala tupa kukata Norwich EPL
Na MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA LIGI Kuu ya Uingereza ya msimu wa 2019-2020 inang’oa nanga leo Ijumaa, huku mabingwa wa Bara Ulaya,...
- by adminleo
- August 4th, 2019
Bora tu Man United wako nyuma yetu EPL, tuna raha duniani, mashabiki wa Arsenal wasema
Na MWANGI MUIRURI MWENYEKITI wa mashabiki wa timu ya ligi kuu ya Uingereza, Arsenal katika Kaunti ya Murang’a James Nduati anawataka...
- by adminleo
- August 3rd, 2019
Msimu wa ligi kuu za soka Ulaya watarajiwa kusisimua biashara nchini
Na MWANGI MUIRURI HUKU Ligi kuu za kandanda hasa Ulaya zikitarajiwa kuanza rasmi msimu mpya wiki chache zijazo, wawekezaji katika sekta...
- by adminleo
- July 17th, 2019
Steve Bruce achukua mikoba ya Benitez Newcastle
NA CECIL ODONGO NEWCASTLE United Jumatano ilimteua kocha mahiri Steve Bruce kama mkufunzi wake kwenye mkataba wa miaka mitatu, hii ni...
- by adminleo
- July 15th, 2019
Giroud ajitapa atakavyotesa makipa baada ya ujio wa Lampard
NA CECIL ODONGO BAADA ya kutinga mabao mawili kwenye ushindi wa 4-0 dhidi ya St Patrick FC Jumamosi Julai 13 2019, mshambulizi wa...
- by adminleo
- June 6th, 2019
Straika wa TZ amezewa mzte EPL
Na GEOFFREY ANENE Mshambuliaji matata wa Tanzania, Mbwana Samatta yuko juu ya orodha ya silaha zinazotafutwa na klabu ya Brighton &...