Tag: FASIHI
- by adminleo
- June 11th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Jinsi ya kufundisha darasa mseto
Na MARY WANGARI NI sharti kama mwalimu uwe na maarifa kuhusu tamaduni na itikadi za wanajamii mbalimbali kama vile Wazungu, Wachina,...
- by adminleo
- June 6th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Sifa za mkufunzi, mwanagenzi katika ufundishaji wa lugha ya Kiswahili
Na MARY WANGARI ILI kufanikisha mchakato wa ufundishaji wa lugha ni muhimu kwa mkufunzi kudhihirisha sifa zifuatazo: i. mkufunzi...
- by adminleo
- June 6th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Sifa bainifu za wanafunzi wanaojifunza lugha
Na MARY WANGARI WAKATI mtaalamu anawafundisha wanafunzi lugha kama Kiswahili, ni muhimu kukumbuka kwamba uteuzi wa njia itakayotumika...
- by adminleo
- June 6th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Mbinu za ufundishaji lugha ya Kiswahili
Na MARY WANGARI MBINU za kufundisha Kiswahili ni chungu nzima sawa na jinsi walimu nao walivyo wengi. Hata hivyo, njia hizi...
- by adminleo
- June 6th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Nadharia za kujifunza na kufundisha lugha
Na MARY WANGARI Nadharia ya utabia (Behaviourism) MWASISI wa nadharia hii ni B. Watson. Wataalamu wengineo wanaoafikiana na...
- by adminleo
- June 6th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Hatua na nadharia muhimu katika kujifunza na ufundishaji wa lugha
Na MARY WANGARI TUNAENDELEZA mada kuhusu mchakato wa kujifunza pamoja na kufundisha lugha ya Kiswahili. Jinsi tulivyofafanua awali,...
- by adminleo
- May 14th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Kiini cha makosa katika lugha
NA MARY WANGARI BAADHI ya visababishi vya makosa katika lugha ni jinsi ifuatavyo: Maumbo Baadhi ya watu katika jamii hupuuza mofu...
- by adminleo
- April 25th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Uhusiano uliopo kati ya Isimujamii na taaluma nyinginezo
Na MARY WANGARI Uhusiano kati ya Isimujamii na Saikolojia TAALUMA za isimujamii na saikolojia hushughulikia swala la mielekeo...
- by adminleo
- April 25th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Tathmini ya asili na miundo mbalimbali ya methali
Na WANDERI KAMAU METHALI ni kifungu cha maneno yanayotumiwa pamoja kisanii kwa njia ya kufumba au kutolea mfano na huchukua maana pana...
- by adminleo
- April 24th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Nafasi ya Kiswahili katika ujenzi wa jamii mpya ya Afrika
Na CHRIS ADUNGO LUGHA ni chombo muhimu sana cha mawasiliano kilichoundwa na sauti za nasibu za kusemwa na kutumiwa na jamii ya utamaduni...
- by adminleo
- April 18th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Njia faafu ya kulitanguliza somo la Fasihi Andishi kwa wanafunzi
Na CHRIS ADUNGO KABLA ya kuwatanguliza wanafunzi katika somo la Fasihi Andishi na kuanza kusoma kitabu chochote kile, ni vyema kwa mwalimu...
- by adminleo
- April 16th, 2019
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Mazingatio makuu katika ufunzaji wa ufupisho
Na WANDERI KAMAU UFUPISHO ni mojawapo ya mihimili muhimu katika ufundishaji wa uandishi wa muhtasari. Kimsingi, kipengele...