Tag: fedha
- by adminleo
- September 7th, 2019
Orengo akosoa Rais kuhusu mswada wa fedha
Na DICKENS WASONGA KIONGOZI wa wachache katika seneti James Orengo amemkosoa Rais Uhuru Kenyatta kwa kuingilia utendakazi wa Bunge...
- by adminleo
- August 16th, 2019
Kamati nyingine ya upatanisho yabuniwa kujaribu kutanzua mzozo kuhusu ugavi wa fedha kwa kaunti
Na CHARLES WASONGA KWA mara ya pili Spika wa Bunge la Kitaifa Jusitin Muturi na mwenzake wa Seneti Kenneth Lusaka wamebuni kamati...
- by adminleo
- August 15th, 2019
Rais ataka mzozo kuhusu ugavi wa fedha utatuliwe
PHYLLIS MUSASIA, DAVID MUCHUI na PSCU RAIS Uhuru Kenyatta ametoa wito kwa Bunge la Kitaifa na Seneti kukomesha mzozo kuhusu Mswada wa...
- by adminleo
- July 24th, 2019
FEDHA: Wizara ya nuksi
VALENTINE OBARA Na BENSON MATHEKA MASAIBU yanayomkumba Waziri wa Fedha, Henry Rotich yameongeza jina lake kwenye orodha ya walioandamwa...
- by adminleo
- May 10th, 2019
‘MCAs hufyonza fedha za umma bila kufanya kazi’
Na ANITA CHEPKOECH YAMKINI idadi kubwa ya madiwani nchini hugharimu mlipaushuru kiasi kikubwa cha pesa ilhali utendakazi wao ni duni...
- by adminleo
- April 23rd, 2019
Kiwango cha fedha kwa kaunti chaongezwa kwa asilimia 17
Na BERNARDINE MUTANU Kiwango cha fedha kilichopewa serikali za kaunti kiliongezeka kwa asilimia 17.8 kufikia Machi hadi Sh205.6...
- by adminleo
- January 23rd, 2019
Wahindi wakejeli utumizi wa mafuta ya ng’ombe kutengeneza pesa
MASHIRIKA Na PETER MBURU JAMII ya Hindu inaitaka benki ya Reserve kutoka Australia kuanza kuchapisha sarafu za noti zisizoundwa kutumia...
- by adminleo
- January 23rd, 2019
UTAFITI: Inawachukua wakuu wa kampuni siku 1 kupata mshahara wako wa mwaka mzima
MASHIRIKA Na PETER MBURU UTAFITI kuhusu mishahara kati ya waajiri na wafanyakazi wao katika mataifa 22 duniani umedhihirisha kuwa...
- by adminleo
- January 3rd, 2019
Viongozi wakataa utaratibu wa kugawa fedha za kaunti
Na BRIAN OKINDA VIONGOZI kutoka kaunti za kaskazini mwa nchi wamepinga vikali mbinu mpya ya kugawa fedha kwa kaunti inayopendekezwa na...
- by adminleo
- June 14th, 2018
BAJETI YA KUNYONYA: Raia kuumia zaidi
CHARLES WASONGA na VALENTINE OBARA BEI ya unga, maziwa, mkate, mafuta taa na bidhaa nyingine za kimsingi itapanda Bunge likipitisha...
- by adminleo
- May 6th, 2018
BAJETI: Ujenzi wa reli, elimu zapewa kipaumbele
Na CAROLYNE AGOSA UJENZI wa barabara na reli mpya ya SGR, uimarishaji elimu na uhifadhi mazingira zimepewa kipaumbele katika bajeti ya...
- by adminleo
- March 29th, 2018
Gor yakanusha kutowalipa wachezaji licha ya kutatizika kifedha
Na GEOFFREY ANENE AFISA mmoja wa Gor Mahia amekiri kwamba mabingwa hao mara 16 wa Kenya wanakumbwa na matatizo ya kifedha. Hata...