Tag: gor mahia
- by adminleo
- May 4th, 2020
Oliech akosoa hatua ya Mwendwa kupokeza Gor Mahia ubingwa
Na CECIL ODONGO ALIYEKUWA mshambuliaji nyota wa timu ya taifa Harambee Stars Dennis 'The Menace' Oliech amemkashifu vikali Rais wa...
- by adminleo
- February 18th, 2020
Gor, AFC wajua wapinzani katika Betway 16-bora
Na GEOFFREY ANENE GOR Mahia itavaana na Posta Rangers nayo AFC Leopards ilimane na Ushuru katika raundi ya 16-bora ya mashindano ya...
- by adminleo
- February 12th, 2020
Gor Mahia kuchafuana leo na Western Stima mjini Kisumu
Na CHRIS ADUNGO GOR Mahia wanatarajiwa leo Jumatano kujinyanyua dhidi ya Western Stima katika mchuano wa Ligi Kuu ya Kenya (KPL),...
- by adminleo
- February 11th, 2020
Tusker sasa yainuka Gor na Ingwe wakijikwaa Ligi Kuu
Na GEOFFREY ANENE MABINGWA wa zamani Tusker, Sofapaka na Mathare United wameimarika kwenye jedwali la Ligi Kuu ambayo imeshuhudia...
- by adminleo
- January 29th, 2020
Muhiddin aelezea matumaini ya Bandari kung’aa KPL, FKF
Na ABDULRAHMAN SHERIFF MASHABIKI wa soka wa eneo la Pwani, wamehakikishiwa kuwa timu ya Bandari itafanya vizuri kwenye mechi zao...
- by adminleo
- December 3rd, 2019
Gor Mahia yajikwaa Homeboyz, KCB wakiimarika
Na GEOFFREY ANENE UONGOZI wa Gor Mahia wa alama sita juu ya jedwali la Ligi Kuu sasa umekatwa hadi nne baada ya mabingwa hao watetezi...
- by adminleo
- November 30th, 2019
K’Ogalo, Ingwe kusakata mechi zao za ligi KPL
Na JOHN ASHIHUNDU LICHA ya matatizo ya kifedha yanayokumba timu za Gor Mahia na AFC Leopards baada ya wadhamini wao SportPesa kujiondoa,...
- by adminleo
- November 19th, 2019
Gor Mahia yarejea nyumbani na kumulika ligi kuu
Na GEOFFREY ANENE MIAMBA wa Gor Mahia walirejea nchini mapema Jumatatu kutoka Libya, huku mashabiki wao wakichochea mabingwa hao wa Ligi...
- by adminleo
- November 15th, 2019
Mechi za Gor Mahia kurejea Kisumu
Na CECIL ODONGO UONGOZI wa klabu ya Gor Mahia yenye ufanisi mkubwa nchini Kenya umefutilia mbali marufuku ambapo mechi zake katika uga...
- by adminleo
- November 12th, 2019
Gor Mahia yaanza kunusa taji la ligi
Na GEOFFREY ANENE MABINGWA watetezi Gor Mahia wako katika orodha ya klabu nane zilizopiga hatua kubwa kwenye jedwali la ligi kuu baada...
- by adminleo
- November 9th, 2019
K’Ogalo, Ingwe tayari kupepeta gozi KPL Jumapili
Na JEFF KINYANJUI na JOHN ASHIHUNDU MAKOCHA wote, Andre Casa Mbungo wa AFC Leopards na mwenzake Steven Polack wa Gor Mahia wameeleza...
- by adminleo
- October 9th, 2019
Kocha wa Gor: Siwezi kugura kikosi kikiwa sasa ndio kimeiva
Na CECIL ODONGO MKUFUNZI wa klabu ya Gor Mahia, Steven Polack, amekanusha uvumi unaoenea kwamba amegura timu hiyo, akisema ameenda...