Tag: handisheki
- by adminleo
- December 5th, 2019
Ni njaa ilipeleka Raila kwa Uhuru, kitabu cha Mudavadi chafichua
JULIUS SIGEI Na BENSON MATHEKA MATATIZO ya kifedha ni moja ya sababu kuu zilizomfanya Kiongozi wa ODM, Raila Odinga kukubali mwafaka wa...
- by adminleo
- September 8th, 2019
JAMVI: BBI itakuwa msumari wa mwisho kwa jeneza la Jubilee
Na BENSON MATHEKA Ripoti ya Jopokazi la Maridhiano, maarufu kama BBI, huenda ikawa msumari wa mwisho katika jeneza la chama cha Jubilee...
- by adminleo
- September 4th, 2019
Walivyozimwa kwa minofu
Na BENSON MATHEKA WALIOKUWA viongozi wakuu wa upinzani kabla ya handisheki wametajwa kama wasaliti wa mwananchi wa kawaida. Hii ni...
- by adminleo
- August 26th, 2019
Mtihani wa handisheki Jubilee ikiingia Kibra
Na CECIL ODONGO USHIRIKIANO kati ya Rais Uhuru Kenyatta na Kinara wa ODM Raila Odinga unatarajiwa kutiwa kwenye mizani baada ya chama...
- by adminleo
- August 4th, 2019
Ripoti ya BBI kutayarishwa kuanzia leo, Haji atangaza
Na STEPHEN ODUOR JOPOKAZI lililoundwa na Rais Uhuru Kenyatta na Kiongozi wa ODM Raila Odinga kuzunguka nchini likikusanya maoni ya...
- by adminleo
- August 1st, 2019
Manufaa ya Handisheki: Kisumu kupata miradi ya Sh50 bilioni
Na MWANGI MUIRURI MRATIBU wa utekelezaji miradi ya serikali, Dkt Fred Matiang'i ametangaza kuwa Kaunti ya Kisumu itapokezwa na serikali...
- by adminleo
- June 24th, 2019
Ngome ya Rais Kiambu imechoshwa na handisheki – Kuria
Na PETER MBURU MBUNGE wa Gatundu Kusini Moses Kuria sasa anadai kuwa wakazi wa Kaunti ya Kiambu ambako ni ngome ya Rais Uhuru Kenyatta...
- by adminleo
- June 10th, 2019
Kuria ashangaa handisheki bado haimtoi kortini
RICHARD MUNGUTI na VALENTINE OBARA MBUNGE wa Gatundu Kusini, Bw Moses Kuria ameshangaa kwamba kesi yake kuhusu uchochezi dhidi ya...
- by adminleo
- June 9th, 2019
Barua kwa Wakenya: Amkeni mlete mageuzi
Na WANDERI KAMAU MNAMO Desemba 1795, aliyekuwa mtawala wa Ufaransa mwenye uwezo mkubwa sana wa kijeshi, Napoleon Bonaparte, aliandika...
- by adminleo
- June 7th, 2019
UCHAMBUZI: Handisheki yakanganya viongozi wa ODM
Na CHARLES WASONGA MIKINZANO ya kimawazo inayodhihirika ndani ya ODM katika siku za hivi karibuni kuhusiana na baadhi ya sera za...
- by adminleo
- June 5th, 2019
HANDISHEKI: Raila awaka
Na SAMWEL OWINO, PETER MBURU na VALENTINE OBARA KIONGOZI wa chama cha ODM, Raila Odinga, amekasirishwa na jinsi wakuu wa chama hicho...
- by adminleo
- June 4th, 2019
Handisheki haina maana bila mageuzi ya katiba – ODM
Na RUTH MBULA VIONGOZI wa Chama cha ODM wamewapa Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wao Bw Raila Odinga makataa ya hadi Machi 2020 kuandaa...