Tag: harambee stars
- by adminleo
- July 24th, 2019
Migne ataka Stars kuwa macho dhidi ya Tanzania CHAN
Na CHRIS ADUNGO KOCHA Sebastien Migne amewakata masogora wake wa Harambee Stars kujihadhari zaidi dhidi ya Tanzania watakapokutana...
- by adminleo
- July 3rd, 2019
STARS HOI: Senegal yaipiga Kenya magoli 3-0
Na MASHIRIKA CAIRO, MISRI SADIO Mane alifunga mabao mawili muhimu katika ushindi wa 3-0 katika mechi baina ya Senegal na Kenya mnamo...
- by adminleo
- June 21st, 2019
Migne afurahia kuimarika kwa Harambee Stars
Na MWANDISHI WETU CAIRO, Misri KOCHA Sebastien Migne wa Harambee Stars amesema amefurahia kuimarika kwa wachezaji kufuatia maagizo...
- by adminleo
- June 18th, 2019
ODONGO: Tuwache lalama na tuunge Harambee Stars Afcon inapoanza
Na CECIL ODONGO MWISHONI mwa wiki hii, mashindano ya Taifa Bingwa Afrika (AFCON) yanatarajiwa kung’oa nanga huku Kenya kwa mara ya...
- by adminleo
- June 15th, 2019
Macho kwa Olunga ambaye ni mwiba kwa DRC
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya Harambee Stars imewasili jijini Madrid nchini Uhispania tayari kuendeleza ubabe dhidi ya Jamhuri ya...
- by adminleo
- June 12th, 2019
Migne akiri jeraha la Mandela ni pigo kubwa Harambee
Na CHRIS ADUNGO KOCHA Sebestien Migne amekiri kwamba jeraha litakalomkosesha beki Brian Mandela fainali za Kombe la Afrika (AFCON) mwezi...
- by adminleo
- June 11th, 2019
Watano watemwa Migne akitaja kikosi cha Afcon
Na CECIL ODONGO KOCHA wa Timu ya Taifa Harambee Stars, Sebastien Migne, Jumanne alitaja kikosi cha wachezaji 23 kitakachowakilisha taifa...
- by adminleo
- June 10th, 2019
FKF yatangaza mipango ya Stars dhidi ya DR Congo
Na GEOFFREY ANENE KENYA imetangaza mipango yake ya mechi ya pili na mwisho ya kirafiki kabla ya Kombe la Afrika (AFCON) dhidi ya Jamhuri...
- by adminleo
- June 8th, 2019
Kenya yailemea Madagascar 1-0 katika mechi ya kirafiki jijini Paris
Na GEOFFREY ANENE KENYA ilianza mechi zake za kirafiki za kujiandaa kwa Kombe la Afrika (AFCON) kwa ushindi baada ya kuchabanga...
- by adminleo
- June 7th, 2019
Harambee Stars ugani Paris dhidi ya Madagascar
Na JOHN ASHIHUNDU KOCHA Sebastien Migne wa Harambee Stars leo Ijumaa ataongoza vijana wake nchini Ufaransa kukabiliana na Madagascar...
- by adminleo
- June 5th, 2019
PARIS YAFURIKA: Wanyama na Timbe watua kambini Paris
Na CHRIS ADUNGO KIKOSI cha Harambee Stars kinachojifua nchini Ufaransa kwa minajili ya fainali za Kombe la Afrika (AFCON) 2019 kimepigwa...
- by adminleo
- June 4th, 2019
Harambee Stars yaahidi burudani isiyo kifani Afcon
Na GEOFFREY ANENE KIUNGO wa Harambee Stars, Dennis Odhiambo amepuuzilia mbali kwamba Kenya itakuwa ikisindikiza timu zingine katika...