Tag: henry rotich
- by T L
- November 23rd, 2021
Waziri wa zamani Henry Rotich alilipa kampuni ya Italy SH8BN
Na RICHARD MUNGUTI KAMPUNI moja ya Italy iliyopewa kandarasi ya kujenga mabwawa ya Arror na Kimwarer imeishtaki Serikali ya Kenya...
- by T L
- October 19th, 2021
DPP ataka kesi za Kimwarer, Arror ziunganishwe
Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP), Noordin Haji sasa anataka kesi za ufisadi wa Sh63 bilioni zinazowakabili...
- by adminleo
- June 12th, 2020
Yatani akiri alikabiliwa na kibarua kigumu kusawazisha bajeti
Na CHARLES WASONGA WAZIRI wa Fedha Ukur Yatani ameungama kuwa bajeti aliyowasilisha kwa Wakenya bungeni Alhamisi jioni ilitokana na...
- by adminleo
- June 11th, 2020
WASONGA: Bajeti inayosomwa leo haijali athari za corona
Na CHARLES WASONGA BAJETI ya kitaifa inaposomwa leo bungeni kuna maswali mengi ibuka kuhusiana na viwango vya fedha zilizotengewa...
- by adminleo
- July 28th, 2019
Kushtakiwa kwake Rotich kulimuanika Ruto na wafuasi wake
Na BENSON MATHEKA Kushtakiwa kwa aliyekuwa waziri wa fedha Henry Rotich, maafisa wa wizara hiyo na wale wa mamlaka ya maendeleo ya bonde...
- by adminleo
- July 23rd, 2019
UFISADI: Rotich atumbukia bwawani
Na VALENTINE OBARA SAKATA ya mabwawa ya Arror na Kimwarer katika Kaunti ya Elgeyo Marakwet, Jumatatu ilimtumbukiza Waziri wa Fedha,...
- by adminleo
- July 22nd, 2019
Rotich kung’olewa afisini baada ya kushtakiwa
Na CHARLES WASONGA WAZIRI wa Fedha Henry Rotich na maafisa wengine wa serikali ambao watafikishwa mahakamani Jumanne kwa tuhuma za...
- by adminleo
- July 22nd, 2019
Vitimbi vya ‘Kamata Kamata’ vyarudi Rotich akibambwa
Na WAANDISHI WETU IDARA ya Uchunguzi wa Uhalifu (DCI) Jumatatu ilirejelea shughuli zake za kukamata washukiwa wa ufisadi, almaarufu kama...
- by adminleo
- July 17th, 2019
Serikali kupimia wazee hewa
Na PAUL WAFULA SERIKALI imewapimia hewa wafanyikazi wanaostaafu kabla ya kufikisha miaka 60 kwa kuwazima kupokea akiba yao yote ya...
- by adminleo
- March 7th, 2019
Shinikizo Rotich ang’atuke zazidi
SAMWEL OWINO na CHARLES WASONGA WAZIRI wa Fedha, Henry Rotich Jumatano alirejea tena katika Makao Makuu ya Upelelezi wa Jinai (DCI)...
- by adminleo
- October 16th, 2018
NGILA: Pesa zilizoibwa na kufichwa ughaibuni zirejeshwe na serikali
NA FAUSTINE NGILA RIPOTI ya Shirika la Kitaifa kuhusu Utafiti wa Uchumi kutoka Amerika iliyotolewa juma lililopita kuwa Kenya ni ya pili...
- by adminleo
- September 17th, 2018
Wabunge wa Jubilee waapa kumng’oa Rotich ofisini
Na CHARLES WANYORO WABUNGE wawili wa chama cha Jubilee wametoa mwito kwa Rais Uhuru Kenyatta amfute kazi Waziri wa Fedha Henry Rotich...