Tag: hewa
Watabiri hewa Pwani wachanganya wakazi
Na SIAGO CECE HOFU kuhusu ukame imekumba ukanda wa Pwani baada ya wataalamu wa hali ya hewa kushindwa kubaini mvua itaanza kunyesha lini...
- by adminleo
- February 23rd, 2020
Munya asuta viongozi kwa kuzindua miradi hewa
Na DAVID MUCHUI WAZIRI wa Kilimo, Bw Peter Munya amelaumu viongozi wakuu serikalini ambao wamekuwa wakianzisha miradi mipya kila mara...
- by adminleo
- December 31st, 2019
2019: Mwaka wa ahadi hewa
Na BENSON MATHEKA MWAKA wa 2019 ulipoanza, Wakenya walikuwa na matumaini makubwa kwamba viongozi wa serikali wangewatimizia ahadi...
- by adminleo
- May 24th, 2018
Wanasiasa wanaozindua miradi hewa wakaangwa mitandaoni
NA PETER MBURU WAKENYA mitandaoni wamewakaanga bila mafuta baadhi ya wanasiasa ambao wamekuwa na hulka ya kuzindua miradi isiyo na mashiko...
- by adminleo
- April 8th, 2018
Etihad yajizatiti kupunguza hewa chafu
Na BERNARDINE MUTANU Shirika la Ndege la Etihad lilifanikiwa kudhibiti tani 195,000 za hewa chafu mwaka wa 2017. Hii ni baada ya kuzindua...