Tag: hiv
- by T L
- December 14th, 2021
SHINA LA UHAI: Kipindi kigumu kwa walio na HIV na TB
Na PAULINE ONGAJI MARUFUKU ya kutosafiri kutoka sehemu moja hadi nyingine yaliyotokana na maradhi ya Covid--19 yalimuathiri vibaya Bi...
- by T L
- October 26th, 2021
Dawa mpya yathibitishwa kuwa na uwezo wa kupunguza makali ya HIV
Na LEONARD ONYANGO WAATHIRIWA wa HIV huenda wakapunguziwa usumbufu wa kumeza tembe za kupunguza makali ya virusi hivyo (ARVs) kila siku...
Pete ya ukeni kinga ya maambukizi ya HIV, wasema watafiti
Na Winnie Oyando Matumizi ya pete ya ukeni (vaginal ring) miongoni mwa wanawake yanaweza kuzuia maambukizi ya virusi vya HIV, kulingana...
SHINA LA UHAI: HIV: Maelfu wakwepa tembe za PrEP, kunaendaje?
Na LEONARD ONYANGO USIPOKUWA makini utadhani tembe ya kuzuia virusi vya HIV, pre-exposure prophylaxis (PrEP), ni sawa na tembe ya...
AFYA: Je, virusi vya HIV vinachochea corona?
TANGU takwimu za wizara ya Afya zilipoanza kuonyesha kuwa maambukizi ya virusi vya corona yameongezeka katika ukanda wa Ziwa Victoria,...
Watoto zaidi ya 2,000 waambukizwa HIV kwa kunyonyeshwa
Na MAUREEN ONGALA WATOTO 2,331 wanaoishi Kaunti ya Kilifi waliambukizwa virusi vya HIV katika kipindi cha janga la corona kilichoanza...
Kagwe adai shirika lilitaka kukwepa ushuru wa dawa za HIV
Na WANDERI KAMAU WAZIRI wa Afya, Bw Mutahi Kagwe, amesema kuwa Shirika la Amerika la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) lilikuwa likijaribu...
- by adminleo
- February 16th, 2020
Chifu anayekabili uasherati, HIV kwa kutandika wazinifu mijeledi
Na BERNARD OJWANG KAUNTI ya Homa Bay imegonga vichwa vya habari mara nyingi kwa sababu zisizo njema kama vile kukithiri kwa maambuizi ya...
- by adminleo
- October 3rd, 2019
Waziri alilia viongozi wachangie kampeni ya HIV
Na AGGREY OMBOKI WAZIRI wa Afya Bi Sicily Kariuki amewaomba viongozi wa kisiasa wanaume kuisaidia nchi kukabiliana na virusi vya HIV kwa...
- by adminleo
- September 23rd, 2019
Hofu HIV kuongezeka wakazi kukataa kondomu
Na KALUME KAZUNGU SERIKALI ya Kaunti ya Lamu imeeleza hofu kuhusu idadi kubwa ya wakazi na wageni ambao hawapendi kutumia mipira ya...
- by adminleo
- May 2nd, 2019
TAHARIRI: Wadau waungane kudhibiti maambukizi ya HIV
NA MHARIRI KUIBUKA kwa ripoti kuwa maambukizi ya virusi vya HIV yameongezeka nchini kutokana na migomo ya mara kwa mara ya wahudumu wa...
- by adminleo
- May 2nd, 2019
Kampuni ya Kikuyu sasa yatengeneza dawa za kupunguza makali ya HIV
NA DANIEL OGETTA KIWANDA kimoja mjini Kikuyu kimefanikiwa kutengeneza dawa za kupunguza makali ya ukimwi (ARVs) kwa kuzingatia mwongozo...