Tag: hongo
- by adminleo
- April 17th, 2019
Aliyekuwa Rais wa Peru ajiua kukwepa mashtaka ya hongo
MASHIRIKA NA DANIEL OGETTA RAIS wa zamani wa Peru, Alan García alijiua kwa kujipiga risasi Jumatano wakati maafisa wa polisi walipofika...
- by adminleo
- February 27th, 2019
Ahmednassir taabani kudai Jaji Ibrahim alihongwa
Na RICHARD MUNGUTI JAJI wa Mahakama ya Juu Mohammed Ibrahim amempa mwanasheria Ahmednassir Abdullahi siku saba aondoe matamshi kwamba ya...
- by adminleo
- February 7th, 2019
Faini ya Sh1.3 milioni kwa kumeza hongo ya Sh50,000
Na RICHARD MUNGUTI MAAFISA wawili wa Hazina ya Malipo ya Uzeeni (NSSF) waliolambishwa mlungula wa Sh50,000 na kusema noti zilikuwa na...
- by adminleo
- January 14th, 2019
Afisa wa KDF taabani kuhusu hongo ya kuingiza vijana kwa jeshi
Na RICHARD MUNGUTI AFISA wa Jeshi Ijumaa alishtakiwa kwa kupokea zaidi ya Sh400,000 kutoka kwa makurutu waliokuwa wanachaguliwa kujiunga...
- by adminleo
- January 8th, 2019
Makurutu wasimulia walivyohongana kuingia KDF
BERNARD ROTICH na DENNIS LUBANGA BAADHI ya makurutu walionaswa wakiwa na barua feki za kujiunga na jeshi wamekubali kwamba walitoa hongo...
- by adminleo
- November 7th, 2018
Kaunti yachunguza askari waliovamia mwanahabari aliyerekodi video wakimeza hongo
Na VALENTINE OBARA SERIKALI ya Kaunti ya Nairobi imeanzisha uchunguzi kuhusu tukio ambapo mwanahabari alidai kupigwa na askari wa kaunti...
- by adminleo
- October 16th, 2018
HONGO: Muturi atembelea vyoo vya wanawake bungeni kujua ukweli
NA CHARLES WASONGA SPIKA wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi Jumanne aliongoza wanachama wa kamati ya bunge inayochunguza madai ya wabunge...
- by adminleo
- September 26th, 2018
HONGO BUNGENI: Wa Muchomba asimulia wabunge walivyomumunya hongo chooni
Na CHARLES WASONGA MBUNGE Mwakilishi wa Kiambu Gathoni wa Muchomba Jumanne alishikilia kuwa aliwasikia wabunge wenzake wa kike...
- by adminleo
- September 24th, 2018
HONGO BUNGENI: Barasa asema Fatuma Gedi alijaribu kumhonga kwa Sh10,000
Na CHARLES WASONGA WABUNGE waliofika mbele ya Kamati ya Bunge kuhusu Mamlaka ya Hadhi walitoa kauli zilizokanganya kuhusu iwapo wenzao...
- by adminleo
- September 17th, 2018
SAKATA YA HONGO BUNGENI: Wabunge 15 kuchunguzwa
Na CHARLES WASONGA BAADA ya kuahirishwa mara kadha, hatimaye uchunguzi kuhusu madai ya aibu ya wabunge kupokea hongo ya kati ya Sh10,000...
- by adminleo
- September 5th, 2018
Kocha wa Nigeria aanikwa kupokea hongo
Na Geoffrey Anene KOCHA wa Super Eagles ya Nigeria, Salisu Yusuf, amemwaga unga kwa kupokea fedha kutoka kwa mwanahabari kutoka Ghana,...
- by adminleo
- August 21st, 2018
Abambwa kwa kujaribu kumpa Sonko hongo ya Sh1 milioni
Na BERNARDINE MUTANU Mfanyibiashara mmoja alikamatwa Jumatatu na makachero wa Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) kwa...