Tag: huduma namba
- by T L
- December 22nd, 2021
2022: Mudavadi akataa Huduma Namba katika uchaguzi
Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa chama cha Amani National Congress (ANC), Musalia Mudavadi amepinga vikali matumizi ya Huduma Namba...
Kampeni ya kugawa Huduma Namba yaanza
Na KENYA NEWS AGENCY KAMPENI ya nyumba hadi nyumba imeanzishwa katika kaunti ya Garissa kwa ajili ya kusaka wenye kadi 9,000 za Huduma...
Wito wazee wa nyumba 10 walipwe kusambaza kadi za Huduma Namba
Na MAUREEN ONGALA WAKAZI wa Mtondia na Kibarani, Kaunti ya Kilifi wameitaka serikali ya kitaifa kuwalipa wazee wa nyumba kumi ili...
Vitambulisho vya kitaifa kufutiliwa mbali, Huduma Namba kutumika
Na SAMMY WAWERU Serikali imesema itafutilia mbali vitambulisho vya kitaifa mwishoni mwa mwaka huu au mwanzoni mwa mwaka ujao. Msemaji...
Kifo cha kitambulisho chaja Huduma Namba ikinukia
MARY WAMBUI na WANDERI KAMAU MUDA wa matumizi ya vitambulisho vya kitaifa miongoni mwa Wakenya utaisha rasmi Desemba 2021, baada ya...
Huduma Namba yachanganya Wakenya zaidi
CECIL ODONGO na VALENTINE OBARA MASWALI yameibuka upya kama serikali itafanikisha mpango wa Huduma Namba, baada ya Rais Uhuru Kenyatta...
NGILA: Huduma Namba itumie ‘Blockchain’ kufanikiwa
NA FAUSTINE NGILA Jina langu kwenye kitambulisho ni Faustine, lakini ajenti wa M-Pesa aliyenisajili kwenye huduma hiyo ya kutuma na...
WASONGA: Matiang’i na Kibicho watoe majibu kuhusu Huduma Namba
Na CHARLES WASONGA SERIKALI ilipoanzisha mpango wa kitaifa wa kusajili taarifa za Wakenya katika mfumo wa kidijitali (NIIMS) almaarufu...
Maswali 10 ya ‘Tangatanga’
Na WANDERI KAMAU MRENGO wa ‘Tangatanga’ Jumamosi uliitaka serikali kujibu maswali 10 kuhusu mpango wa kuwasajili upya Wakenya...
- by adminleo
- March 6th, 2020
Kadi za Huduma Namba kupeanwa hivi karibuni
Na CHARLES WASONGA WAKENYA 37 milioni ambao walijisajili kwa Huduma Namba mwaka 2019 wataanza kupokea kadi hizo baada ya miezi...
- by adminleo
- February 19th, 2020
Serikali yataka maoni ya Wakenya kuhusu Sheria ya Data
Na FAUSTINE NGILA SERIKALI kupitia Wizara ya Teknolojia, Habari na Mawasiliano imewaomba Wakenya wajitokeze kuchangia kuhusu kubuniwa...
- by adminleo
- November 26th, 2019
Matiang’i atakiwa kueleza sababu ya makarani wa Huduma Namba kutolipwa
Na CHARLES WASONGA MASENETA wamemtaka Waziri wa Usalama na Masuala ya Ndani Fred Matiang’i na Katibu wa wizara hiyo Karanja Kibicho...