Tag: IKULU
- by adminleo
- June 12th, 2019
Babake aliyeingia Ikulu aililia serikali impe mwanawe nafasi maishani
Na VALENTINE OBARA BABAKE Brian Kibet Bera, kijana aliyeingia Ikulu ya Nairobi mnamo Jumatatu jioni akiwa na nia ya kumuua Rais Uhuru...
- by adminleo
- June 12th, 2019
Apigwa risasi akiingia Ikulu ‘kumuua’ Uhuru
Na VALENTINE OBARA MWANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Jomo Kenyatta (JKUAT) anauguza majeraha ya risasi aliyopigwa alipojaribu kuvamia Ikulu...
- by adminleo
- June 12th, 2019
Babake mwanafunzi aliyekamatwa akiingia Ikulu adai mwanawe ana matatizo ya kiakili
Na SAMMY WAWERU BABAKE mwanafunzi aliyekamatwa akiingia Ikulu kinyume cha sheria amesema mwanawe ana matatizo ya kiakili. David Bera...
- by adminleo
- June 11th, 2019
TAHARIRI: Tusipuuze kisa cha kijana kuingia Ikulu
NA MHARIRI TUKIO ambapo mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Jomo Kenyatta alipigwa risasi na kukamatwa kwa kuingia Ikulu bila idhini ya...
- by adminleo
- June 11th, 2019
Mwanafunzi wa chuo kikuu akamatwa kwa kuingia Ikulu kinyume cha sheria
Na PSCU MWANAFUNZI wa chuo kikuu anayesomea taaluma ya uhandisi amekamatwa kwa kuingia Ikulu kinyume cha sheria. Brian Kibet Bera,...
- by adminleo
- May 23rd, 2019
Ripoti yafichua ‘serikali mbili’ Kenya
Na LEONARD ONYANGO KENYA inatawaliwa na serikali mbili - moja iliyochaguliwa na wananchi na nyingine ya wakora wenye uwezo mkubwa wa...
- by adminleo
- May 16th, 2019
Raila ampiku Ruto Ikulu
Na LEONARD ONYANGO USHAWISHI wa kiongozi wa ODM, Raila Odinga serikalini unaendelea kuongezeka huku wanasiasa walioshindwa katika...
- by adminleo
- May 13th, 2019
Ikulu yakemewa kuzidi kutetea mradi wa nyumba
Na PETER MBURU WAKENYA wameikaanga Ikulu kwa kuendelea kutetea mpango wa kuwakata watu pesa ili kufadhili ujenzi wa nyumba za bei nafuu,...
- by adminleo
- March 25th, 2019
Handisheki itamfikisha Raila Ikulu – ODM
Na VALENTINE OBARA CHAMA cha ODM kimekiri kuwa muafaka kati ya Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa chama hicho, Bw Raila Odinga...
- by adminleo
- March 14th, 2019
Tumefungiwa Ikulu, wanasiasa wa Rift Valley walia
BENSON MATHEKA NA CHARLES WASONGA SENETA wa Kericho, Aaron Cheruiyot amelalamika kuwa viongozi wa Rift Valley Kusini wameshindwa...
- by adminleo
- February 22nd, 2019
Kinuthia Mbugua ashutumiwa kwa kufeli kufika mbele ya PAC
Na CHARLES WASONGA MSIMAMIZI wa Ikulu Kinuthia Mbugua ametakiwa kufika mbele ya wabunge Jumatatu wiki ujao kujibu maswali...
- by adminleo
- November 2nd, 2018
Polisi wafumania watu 3 wakinyakua ardhi ya Ikulu
NA TITUS OMINDE Idara ya usalama mjini Eldoret imekamata watu watatu ambao walipatikana wakijenga ua katika sehemu ya ardhi ambayo...