• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 5:54 PM

Inter Milan wapoteza fursa ya kupunguza pengo la alama kati yao na AC Milan ligini

Na MASHIRIKA INTER Milan walipoteza fursa ya kufikia AC Milan kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Italia (Serie A) baada ya kuambulia...

Inter Milan wakataa Eriksen awachezee baada ya kupata matatizo ya moyo wakati wa fainali za Euro 2020

Na MASHIRIKA CHRISTIAN Eriksen hajakubaliwa kusakata soka nchini Italia msimu huu baada ya kupata matatizo ya moyo akichezea Denmark...

Inter Milan washinda taji la Serie A kwa mara ya kwanza tangu 2009-10

Na MASHIRIKA INTER Milan walijizolea taji la Ligi Kuu ya Italia (Serie A) kwa mara ya kwanza baada ya kipindi cha miaka 11 mnamo...

Inter Milan sasa pua na mdomo kutwaa taji la Serie A kwa mara ya kwanza tangu 2009-2010

Na MASHIRIKA LICHA ya kulazimishiwa sare ya 1-1 kutoka kwa Spezia mnamo Jumatano, Inter Milan walifungua pengo la alama 10 kileleni mwa...

Inter Milan yaanza kunusia taji la Serie A

Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI matata wa inter Milan, Romelu Lukaku, alifunga bao la pekee katika ushindi muhimu wa ugenini dhidi ya Bologna,...

‘Red Devils’ wa zamani wanavyoisaidia Inter

Na MASHIRIKA VIONGOZI wa Ligi Kuu ya Italia (Serie A), Inter Milan, walifungua mwanya wa alama nne kileleni baada ya kuwapiga Genoa 3-0...

Soka ya Italia kurejea kwa nusu-fainali ya Coppa Italia

Na CHRIS ADUNGO JUVENTUS na AC Milan zitakuwa klabu za kwanza kurejelea soka ya Italia zitakapovaana Ijumaa ya Juni 12 katika mkondo wa...

Icardi apokezwa mkataba wa kudumu kambini mwa PSG

Na CHRIS ADUNGO MIAMBA wa soka ya Ufaransa, Paris Saint-Germain (PSG) wamemsajili mshambuliaji matata wa Inter Milan na timu ya taifa ya...

Sanchez ana risasi moja pekee ya kujiokoa Inter Milan

Na CHRIS ADUNGO INTER Milan wamethibitisha kwamba fowadi Alexis Sanchez atasalia nao hadi mwisho wa msimu huu akisubiri iwapo usimamizi...

Uwanja wa San Siro unaotumiwa na AC Milan na Inter Milan kubomolewa

Na CHRIS ADUNGO NAFASI ya uwanja maarufu wa San Siro ulioko jijini Milan, Italia inatarajiwa kuchukuliwa na uwanja mpya baada ya mamlaka...

Inter Milan kileleni mwa jedwali Ligi Kuu ya Italia

Na MASHIRIKA MILAN, ITALIA INTER Milan walitoka nyuma kwa mabao mawili na kukizamisha chombo cha watani wao AC Milan kwa jumla ya...

KLABU ZAVUNA: Jua ni timu zipi zilisajili wachezaji mahiri

Na AFP PARIS, UFARANSA KLABU za PSG, Juventus na Atletico Madrid ndizo zilifanikisha usajili wa wachezaji mahiri huku Manchester...