• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 12:58 PM

Mwaura arejea rasmi kama Seneta Maalum

Na CHARLES WASONGA BW Isaac Mwaura Jumatano alipokelewa tena rasmi katika Seneti kufuatia uamuzi wa Mahakama Kuu kufutilia mbali hatua...

JAMVI: Mwaura alivyojikwaa na kujiponza kisiasa

Na WANDERI KAMAU HATUA ya Chama cha Jubilee (JP) kumtimua aliyekuwa Seneta Maalum, Bw Isaac Mwaura, kutoka chama hicho imezima nyota ya...

Mwaura apoteza useneta rasmi na kiti kutangazwa wazi

Na CHARLES WASONGA SASA ni rasmi kwamba Seneta Maalum Isaac Mwaura amepoteza wadhifa wake baada ya Spika wa Seneti Kenneth Lusaka...

Wanasiasa wakerwa na matamshi ya Junet Mohamed

NA WANGU KANURI Matamshi ya mbunge wa Suna Mashariki, Junet Mohamed yakimsuta seneta Isaac Mwaura yaliibua gumzo katika mitandao ya...

Seneta Mwaura aitaka serikali ijenge madarasa zaidi shule za umma

Na SAMMY WAWERU SENETA Maalum Isaac Mwaura ameihimiza serikali kutengeneza madarasa zaidi katika shule za msingi za umma ili kusaidia...

Seneta Mwaura aitikia kilio cha wahudumu wa tuktuk Githurai kuimarisha barabara mbovu

Na SAMMY WAWERU SIKU kadhaa baada ya wahudumu wa tuktuk Githurai kulalamikia hali mbovu ya barabara, hasa inayounganisha eneo hilo na...

GWIJI WA WIKI: Mtetezi wa Kiswahili ndani ya Seneti

LEONARD ONYANGO na CHRIS ADUNGO KITI cha Naibu wa Spika wa Seneti kiliposalia wazi baada ya Seneta wa Tharaka Nithi Profesa Kithure...

Mjadala wa fedha waingizwa ukabila

Na CHARLES WASONGA MJADALA kuhusu mfumo mpya wa ugavi wa fedha miongoni mwa kaunti 47 Jumanne ulitekwa na ukabila katika...