• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 9:12 AM

Njaa: Serikali kuanza kusambaza mlo, maji

Na WINNIE ATIENO SERIKALI kuu itaanza kuwapa msaada wa chakula na maji wanaoathiriwa na njaa kuanzia wiki ijayo, ili kuokoa maisha baada...

Furaha mwanamume aliyetoweka miezi 8 iliyopita akirejea

Na WAWERU WAIRIMU MFANYABIASHARA wa Isiolo aliyetoweka kwa njia ya kutatanisha siku ya Krismasi mwaka 2020, amerejea kwake na kuungana...

Isiolo yazindua mpango wa miaka mitano kukabiliana na utapiamlo

  Na WAWERU WAIRIMU KAUNTI ya Isiolo imezindua mpango wa miaka mitano wa lishe bora katika jitihada za kupunguza utapiamlo...

Padri mlevi asababisha mauti ya mhubiri na mkewe

Na WAWERU WAIRIMU WATU watatu wa familia moja, akiwemo mhubiri na mkewe, walifariki Jumamosi asubuhi baada ya kuhusika kwenye ajali ya...

Viongozi wakashifu mauaji ya polisi na utovu wa usalama Isiolo

VIVIAN CHEBET na LUCY KILALO VIONGOZI wa kaunti ya Isiolo wameshtumu vikali mashambulizi ambayo yamesababisha vifo vya polisi watatu na...

Naibu chifu alinitandika bila sababu, asema ajuza

Na VIVIAN JEBET AJUZA wa miaka 68 anadai kushambuliwa na naibu wa chifu mjini Isiolo bila kufanya kosa, alipokuwa ameenda kumchukua...