• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 3:25 PM

Gavana Nyoro ateua mgombea mwenza mwenye tajriba ya matibabu

NA SAMMY WAWERU GAVANA wa Kiambu, James Nyoro amemteua Dkt June Njambi Waweru kuwa mgombea mwenza katika uchaguzi mkuu ujao, Agosti 9,...

Uwanja wa ndege kujengwa eneo la Gatuanyaga

Na LAWRENCE ONGARO KAUNTI ya Kiambu inapanga kujenga uwanja wa ndege katika eneo la Gatuanyaga hivi karibuni. Mnamo mwaka 2018...

Vita vya kujipima nguvu ugavana Kiambu vyaanza

Na LAWRENCE ONGARO KITI cha ugavana Kaunti ya Kiambu kimeongeza joto la kisiasa huku viongozi kadhaa wakianza kuelezea nia...

Wakulima Kiambu wapokea hundi ya Sh39 milioni kupiga jeki shughuli zao za kilimo

Na LAWRENCE ONGARO SERIKALI ya Kaunti ya Kiambu imetoa hundi ya Sh39 milioni kwa wakulima ili waimarishe shughuli zao za...

Kiambaa kuamua mwelekeo wa Nyoro kisiasa – Wadadisi

Na CHARLES WASONGA IMEBAINIKA mustakabali wa kisiasa wa Gavana wa Kiambu James Nyoro utaamuliwa na matokeo ya chaguzi ndogo za eneo...

Madaktari na maafisa bandia wa mifugo Kiambu kuadhibiwa vikali – Nyoro

Na SAMMY WAWERU GAVANA wa Kiambu James Nyoro ametoa onyo kali kwa madaktari na maafisa bandia wa mifugo wanaohangaisha wafugaji na...

Nyoro, Wamatangi walaumiana kuhu utafunaji wa pesa za corona

Na KAMAU MAICHUHIE MZOZO wa uongozi umechipuka kati ya Gavana wa Kiambu, James Nyoro, na Senata Kimani Wamatangi kuhusu madai ya ufujaji...

Wakandarasi sharti wafanye kazi nzuri – Nyoro

Na LAWRENCE ONGARO WAKANDARASI ambao wanapewa kazi ya kufanya katika Kaunti ya Kiambu, watakuwa wakilipwa fedha zao za mradi huo iwapo...

Hospitali ya Igegania Gatundu kupata sura mpya

Na LAWRENCE ONGARO HOSPITALI ya Igegania eneo la Gatundu Kaskazini itafanyiwa ukarabati ili iweze kuhudumia wakazi wa Mang'u na...

Nyoro sasa ‘awachorea mipaka’ wabunge kutoka Kiambu siasa zikichacha

Na LAWRENCE ONGARO SIASA za Kaunti ya Kiambu zinaendelea kupamba moto huku viongozi wakizidi kurushiana cheche za maneno kuhusu hali ya...

Nyoro atoa maelezo jinsi serikali yake inavyojizatiti kuboresha hali ya maisha ya wakazi

Na LAWRENCE ONGARO KAUNTI ya Kiambu inazidi kujiandaa iweze kukabiliana na Covid-19 kwa kuweka vitanda katika hospitali...

COVID-19: Visa 147 vipya, wote ni Wakenya

Na SAMMY WAWERU KENYA sasa imerekodi jumla ya visa 1,618 vya Covid-19 tangu iliporipoti kisa cha kwanza, baada ya wagonjwa 147 zaidi...