• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 8:50 AM

Korti ya Juu yashikilia uamuzi kuhusu jinsia

JOSEPH WANGUI na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA ya Juu imetupilia mbali ombi la mwanaharakati Okiya Omtatah la kubatilisha uamuzi uliotaka...

Kobia ataka maafisa waadilifu NGEC

Na KNA WAZIRI wa Utumishi wa Umma, Jinsia, Miradi Maalum na Masuala ya Wazee, Prof Margaret Kobia ametoa wito kwa jopo la watu saba...

Wenye jinsia mbili walia kubaguliwa wakisaka huduma

Na Wycliffe Nyaberi WATU wenye jinsia mbili nchini wanataka mageuzi yatakayohakikisha uhuru wao na haki zao za kimsingi...

Jinsia: Kenya yaorodheshwa moja ya nchi 50 bora duniani

Na MARY WANGARI JUHUDI za Kenya za kuwezesha usawa wa kijinsia zimepigwa jeki huku ikiorodheshwa miongoni mwa mataifa makuu ulimwenguni...

Chama chalia wanaume wanaopigwa na wake zao wasaidiwe

NA JOSEPH WANGUI CHAMA cha Maendeleo ya Wanaume kimelia kwamba wanaume waliopo kwenye ndoa wanaendelea kupokezwa kipigo na wake zao,...

Wito afisi ya kijinsia ifufuliwe Baringo

NA GEOFFREY ONDIEKI Mwakilishi Mwanamke wa Kaunti ya Baringo Gladwell Cheruiyot ametoa wito kwa Inspekta mkuu wa polisi Hilary Mutyambai...

Siwezi kutetewa na wakili wa kike, mshukiwa aambia korti

Na RICHARD MUNGUTI MALUMBANO makali yalizuka Jumanne katika kesi ya mauaji ya wakili mtetezi wa haki za binadamu Willy Kimani pale mmoja...

Aelezea sababu ya kujifanya muuguzi wa kike tangu 2009

Na TITUS OMINDE MWANAMUME ambaye alikamatwa maajuzi katika hospitali ya Moi Teaching and Referral akijifanya muuguzi wa kike, amekiri...

Hoteli yafungwa kwa kuwatoza wanaume ‘ushuru wa jinsia’

MASHIRIKA Na PETER MBURU HOTELI moja ya Australia ambayo imekuwa ikitoza wanaume ‘ushuru wa jinsia ya uanaume’ kama mbinu ya kuleta...

Wanawake nyota waliong’aa katika fani mbalimbali

NA LEONARD ONYANGO Huku ulimwengu ukiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Machi 8, 2019, Taifa Leo Dijitali inaangazia wanawake sita...

Mswada wa Jinsia wafeli mara ya nne mfululizo

Na CHARLES WASONGA WABUNGE Jumatano walikaidi vinara wa vyama vyao na kuangusha Mswada wa Jinsia kwa mara ya nne mfululizo. Kufeli...

Tutapendekeza wanawake watengewe 50% ya nafasi za uongozi – Waiguru

Na BERNARDINE MUTANU GAVANA wa Kirinyaga Anne Waiguru Jumanne alisema viongozi wa kike watapendekeza kuondolewa kwa viti ‘maalum’...