• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 10:08 PM

#JkuatLivesMatter: Majina ya polisi katili yatolewa

NA MARY WANGARI KISA cha mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Jomo Kenyatta (JKUAT) aliyepigwa kikatili na polisi kimechukua mkondo mpya huku...

#JkuatLivesMatter: Polisi waliopiga mwanachuo watemwa

MARY WANGARI Na MARY WAMBUI POLISI wanne walionaswa kwenye video wakimpiga kinyama mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Jomo Kenyatta (JKUAT)...

Viongozi wa wanafunzi wa vyuo vikuu wakosoa unyama wa polisi JKUAT

Na LAWRENCE ONGARO VIONGOZI wa wanafunzi wa vyuo vikuu wameitaka serikali kufanya hima kuwanasa maafisa wa polisi waliowajeruhi...

Polisi wageuka wanyama ghafla wakizima maandamano JKUAT

Na Leonard Onyango MAAFISA wa polisi waliokuwa wakizima maandamano ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha JKUAT mjini Juja, Kaunti ya Kiambu...

PhD: JKUAT yatoa msimamo wake

Na LAWRENCE ONGARO CHUO Kikuu cha Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology (JKUAT), kimetoa taarifa yake kuhusu msimamo...

Mwanafunzi wa JKUAT motoni kwa kulaghai mhadhiri Sh1.4m

[caption id="attachment_6193" align="aligncenter" width="800"] Mshukiwa Emmanuel Okwach na wakili wake Davud Ayuo (kushoto) akiwa kortini...