Tag: JOHO
- by T L
- December 9th, 2021
Joho, Raila wakutana kabla Azimio la Umoja
Na ANTHONY KITIMO GAVANA wa Mombasa, Bw Hassan Joho, amehudhuria mkutano wa dharura na Kiongozi wa chama cha ODM, Bw Raila Odinga, kabla...
- by T L
- November 11th, 2021
‘Vifaranga’ wa Joho sasa kujitetea kivyao
PHILIP MUYANGA Na WINNIE ATIENO WANASIASA katika Kaunti ya Mombasa, ambao nyota yao iling’aa waliposhirikiana na Gavana Hassan Joho...
Joho atiwa presha atangaze mrithi wake
Na WINNIE ATIENO GAVANA wa Mombasa, Bw Hassan Joho amepuuzilia mbali shinikizo la wanasiasa wanaomtaka atangaze ni nani ambaye angependa...
Raila tosha 2022, Joho asema
Na WINNIE ATIENO GAVANA wa Mombasa Hassan Joho ametupilia mbali azma yake ya kuwania urais na kuamua kuunga mkono azma ya kiongozi wa...
Joho na Mucheru waonya wakazi dhidi ya Ruto
Na Winnie Atieno WAZIRI wa Habari, Teknolojia na Mawasiliano (ICT) Joe Mucheru na Gavana Hassan Joho walimsuta na kumshambulia Naibu wa...
Joho, Ruto waua ndoto ya chama cha Wapwani
Na CHARLES LWANGA MATUMAINI ya kuundwa kwa chama cha Pwani yanaendelea kudidimia kwa mara nyingine, baada ya wabunge wandani wa Naibu...
Kaunti yapewa siku 7 kujibu kesi ya wafanyabiashara
Na PHILIP MUYANGA SERIKALI ya Kaunti ya Mombasa imepewa siku saba kujibu kesi iliyowasilishwa kortini na chama cha wenye mabaa, hoteli...
JAMVI: Mkanganyiko mkuu unaogubika siasa za urithi Pwani
Na MOHAMED AHMED KWA muda sasa magavana watatu kutoka Pwani akiwemo wa Mombasa Hassan Joho, Salim Mvurya wa Kwale na mwenzao wa Kilifi...
Ramadhan kupiga breki siasa moto za kumrithi Joho
Na MOHAMED AHMED MFUMO wa mwezi mtukufu wa Ramadhan unatarajiwa kutuliza kasi ya siasa za urithi wa kiti cha ugavana cha Mombasa ambazo...
Maseneta wakosoa Joho kuhusu matumizi ya feri
Na WINNIE ATIENO MASENETA wawili kutoka kaunti za Pwani wameishtumu serikali ya kaunti ya Mombasa kwa kushurutisha zaidi ya watu 300,000...
Joho alipa Sh1m kuwania tiketi ya urais ya ODM kabla ya Raila
Na JUSTUS OCHIENG Gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho ndiye mwanasiasa pekee ambaye kufikia sasa amewasilisha ombi la kusaka tiketi ya ODM...
Joho, Kingi mbioni kufufua jumuiya ya Pwani
Na LUCY MKANYIKA MKUTANO wa faragha wa magavana wanne wa Pwani mnamo Jumatano unaonekana kuwa mojawapo ya mbinu za kuwapa uhai wa...