Tag: JOHO
- by adminleo
- April 8th, 2020
Joho kuwapa wakazi wa Mombasa chakula na maji
Na CHARLES WASONGA USAMBAZAJI wa chakula dawa na maji, bila malipo, kwa wakazi masikini na wenye mahitaji maalum ni baadhi ya hatua...
- by adminleo
- April 2nd, 2020
Joho atuza mama aliyejifunika chupa kuzuia corona
WACHIRA MWANGI na DIANA MUTHEU GAVANA wa Mombasa, Ali Hassan Joho, Alhamisi alimsaidia mwanamke aliyepigwa picha akiwa amekata chupa ya...
- by adminleo
- February 19th, 2020
Mawakili waapa kumkabili Joho
Na WINNIE ATIENO GAVANA wa Mombasa Hassan Joho amepata pigo baada ya Chama cha Mawakili Kenya (LSK) kuapa kusimamisha mpango wa Kaunti...
- by adminleo
- February 16th, 2020
Madiwani watarajia Joho atawasikiza kikaoni
Na FARHIYA HUSSEIN BUNGE la Kaunti ya Mombasa limepanga kuandaa kikao cha kwanza mwaka huu Jumanne huku madiwani wakitarajia Gavana...
- by adminleo
- February 13th, 2020
Joho hatarini kutupwa ndani miezi 6
NA PHILIP MUYANGA GAVANA wa Mombasa Hassan Joho yumo kwenye hatari ya kutupwa gerezani kwa miezi sita baada ya kupatikana na hatia ya...
- by adminleo
- February 1st, 2020
Wakazi Mombasa bado wasubiri miradi hewa ya Gavana Joho
Na MOHAMED AHMED WAKAZI wa Mombasa wanaendelea kusubiri ahadi za Gavana Hassan Joho kuhusu miradi mikuu ambayo ilipaswa kukamilika...
- by adminleo
- January 27th, 2020
Joho agawanya Waislamu
Na MOHAMED AHMED VIONGOZI wa dini ya Kiislamu wamewakosoa wanasiasa kwa kumtawaza Gavana Hassan Joho wa Mombasa kuwa kiongozi wa...
- by adminleo
- January 13th, 2020
Presha yamzidi Sultan kaunti ikikosa mawaziri
NA DIANA MUTHEU GAVANA wa Kaunti ya Mombasa Hassan Joho anazidi kunyoshewa kidole cha lawama kwa kubakia kimya baada ya kukosa kutangaza...
- by adminleo
- November 17th, 2019
Raila amtembelea Joho kumjulia hali
Na WANDERI KAMAU KINARA wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, Jumamosi alimtembelea Gavana wa Mombasa, Bw Hassan Joho nyumbani kwake katika...
- by adminleo
- November 13th, 2019
Madiwani walia Joho amekuwa akiwahepa
NA MWANDISHI WETU Kulingana na katiba, gavana anafaa kuhudhuria kikao kimoja cha bunge la kaunti yake kila mwaka kueleza hali ilivyo...
- by adminleo
- October 21st, 2019
Ruto aruka mtego wa Joho
Na VALENTINE OBARA na FARHIYA HUSSEIN UJANJA wa Gavana Hassan Joho wa Mombasa kujaribu kumshurutisha Naibu Rais William Ruto atangaze...
- by adminleo
- October 10th, 2019
Hatimaye Joho aingilia mzozo wa kusafirisha mizigo SGR
Na WINNIE ATIENO GAVANA wa Mombasa, Hassan Joho sasa amejitokeza kutetea wenye biashara wanaotegemea usafirisha mizigo kwa malori kutoka...