• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 12:58 PM

Joho kuwapa wakazi wa Mombasa chakula na maji

Na CHARLES WASONGA   USAMBAZAJI wa chakula dawa na maji, bila malipo, kwa wakazi masikini  na wenye mahitaji maalum ni baadhi ya hatua...

Joho atuza mama aliyejifunika chupa kuzuia corona

WACHIRA MWANGI na DIANA MUTHEU GAVANA wa Mombasa, Ali Hassan Joho, Alhamisi alimsaidia mwanamke aliyepigwa picha akiwa amekata chupa ya...

Mawakili waapa kumkabili Joho

Na WINNIE ATIENO GAVANA wa Mombasa Hassan Joho amepata pigo baada ya Chama cha Mawakili Kenya (LSK) kuapa kusimamisha mpango wa Kaunti...

Madiwani watarajia Joho atawasikiza kikaoni

Na FARHIYA HUSSEIN BUNGE la Kaunti ya Mombasa limepanga kuandaa kikao cha kwanza mwaka huu Jumanne huku madiwani wakitarajia Gavana...

Joho hatarini kutupwa ndani miezi 6

NA PHILIP MUYANGA GAVANA wa Mombasa Hassan Joho yumo kwenye hatari ya kutupwa gerezani kwa miezi sita baada ya kupatikana na hatia ya...

Wakazi Mombasa bado wasubiri miradi hewa ya Gavana Joho

Na MOHAMED AHMED WAKAZI wa Mombasa wanaendelea kusubiri ahadi za Gavana Hassan Joho kuhusu miradi mikuu ambayo ilipaswa kukamilika...

Joho agawanya Waislamu

Na MOHAMED AHMED VIONGOZI wa dini ya Kiislamu wamewakosoa wanasiasa kwa kumtawaza Gavana Hassan Joho wa Mombasa kuwa kiongozi wa...

Presha yamzidi Sultan kaunti ikikosa mawaziri

NA DIANA MUTHEU GAVANA wa Kaunti ya Mombasa Hassan Joho anazidi kunyoshewa kidole cha lawama kwa kubakia kimya baada ya kukosa kutangaza...

Raila amtembelea Joho kumjulia hali

Na WANDERI KAMAU KINARA wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, Jumamosi alimtembelea Gavana wa Mombasa, Bw Hassan Joho nyumbani kwake katika...

Madiwani walia Joho amekuwa akiwahepa

NA MWANDISHI WETU Kulingana na katiba, gavana anafaa kuhudhuria kikao kimoja cha bunge la kaunti yake kila mwaka kueleza hali ilivyo...

Ruto aruka mtego wa Joho

Na VALENTINE OBARA na FARHIYA HUSSEIN UJANJA wa Gavana Hassan Joho wa Mombasa kujaribu kumshurutisha Naibu Rais William Ruto atangaze...

Hatimaye Joho aingilia mzozo wa kusafirisha mizigo SGR

Na WINNIE ATIENO GAVANA wa Mombasa, Hassan Joho sasa amejitokeza kutetea wenye biashara wanaotegemea usafirisha mizigo kwa malori kutoka...