• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:42 PM

Chitembwe alilia kazi ya Maraga akihojiwa

Na RICHARD MUNGUTI MCHAKATO wa kumsaka Jaji Mkuu atakayechukua mahali pa Bw David Maraga ulianza Jumanne huku mwaniaji wa kwanza wa kiti...

Jubilee yaadhibu Maraga?

Na BENSON MATHEKA HATUA ya Serikali kupunguza bajeti ya Mahakama imesababisha hisia kali huku wengi wakiitaja kama kutimiza vitisho...

JSC kuamua majaji 11 wanaofaa kwa Mahakama ya Rufaa

Na SAM KIPLAGAT TUME ya Huduma za Mahakama imekamilisha shughuli ya kuhoji majaji wanaotaka kujaza nafasi 11 katika Mahakama ya...

Jaji apinga Rais akiteua jopo la kumchunguza

Na RICHARD MUNGUTI MMOJA wa majaji watatu ambao majina yao yalipelekwa kwa Rais Uhuru Kenyatta ateue majopo ya kuwachunguza kwa utovu wa...

JSC yapendekeza jopo libuniwe kumtimua Jaji Ojwang

Na RICHARD MUNGUTI TUME ya Huduma za Mahakama (JSC) imempendekezea Rais Uhuru Kenyatta ateue jopo la majaji kumtimua kazini Jaji Jackton...

Kesi ya kuapisha Prof Mugenda yarudishwa kwa Jaji Mativo

Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu Jumatano ilikataa kuzuia kuapishwa kwa makamishna watatu walioteuliwa na Rais Uhuru Kenyatta kuwa...