Tag: kafyu
Hii kafyu inaumiza wananchi – Kalonzo
Na MWANGI MUIRURI KINARA wa Wiper Democratic Movement amemtaka Rais Uhuru Kenyatta awajibikie utathimini upya kwa upana mikakati...
Rais azima mikutano mikubwa ya kisiasa kwa siku 30
Na MWANDISHI WETU RAIS Uhuru Kenyatta amepiga marufuku mikutano ya kisiasa kwa muda wa siku 30 zijazo kama sehemu ya kuangazia upya...
Covid-19: Hisia za baadhi ya Wakenya kuhusu kafyu
Na WANGU KANURI JANGA la Covid-19 liliingia bila kubisha hodi nchini Kenya mnamo Machi 2020 na kuvuruga pakubwa vitega uchumi vya watu...
Kafyu kuendelea
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta amezidisha utekelezaji wa amri ya kafyu na masharti mengine ya kudhibiti kuenea kwa Covid-19 hadi...
- by adminleo
- July 22nd, 2020
Zimbabwe yarejesha kafyu
Na MASHIRIKA ZIMBABWE imetangaza upya kafyu na masharti makali zaidi kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona, baada ya visa vya...
- by adminleo
- June 9th, 2020
‘Lamu wataka kafyu isiwaguse’
Na MISHI GONGO LICHA ya Rais Uhuru Kenyatta kupunguza muda wa utekelezwaji wa kafyu, amri hiyo inaendelea kuzikandamiza sekta za...
- by adminleo
- June 6th, 2020
Kulegeza masharti kutasabisha vifo vingi – Uhuru
NA MWANDISHI WETU Wakenya mitandaoni wamezua hisia mseto baada ya Rais Kenyatta kudinda kuondoa marufuku ya kutoka na kuingia katika...
- by adminleo
- June 6th, 2020
Kafyu kuanza saa tatu usiku
NA SAMMY WAWERU Muda wa kafyu ya kitaifa inayoendelea kutekelezwa kila siku umeongezwa kwa siku 30 zaidi. Kufuatia mkurupuko wa ugonjwa...
- by adminleo
- June 4th, 2020
Masaibu ya chokoraa wakati wa kafyu
Na SAMMY WAWERU Kwa zaidi ya miezi miwili iliyopita, Kenya imekuwa ikitekeleza kafyu ya usiku, inayoanza saa moja za jioni hadi saa kumi...
- by adminleo
- May 23rd, 2020
Huenda shughuli za kiuchumi zikafunguliwa kote nchini bila zuio na kafyu
Na MARY WANGARI WAKENYA huenda wakarejelea maisha yao ya kawaida kipindi cha majuma machache yajayo pasipo kafyu na zuio la kuingia au...
- by adminleo
- May 18th, 2020
COVID-19: Asimulia jinsi alivyofungiwa mashambani wakati akitarajia kurejea jijini Nairobi
Na SAMMY WAWERU KILA mwanzoni mwa mwezi Michael Murimi ambaye ni mfanyakazi na mkazi katika Kaunti ya Nairobi, huzuru mashambani...
- by adminleo
- May 15th, 2020
COVID-19: Rais Kenyatta atarajiwa kutangaza hatima ya kafyu na zuio Jumamosi
CHARLES WASONGA na SAMMY WAWERU RAIS Uhuru Kenyatta atawafahamisha Wakenya Jumamosi, Mei 16, 2020, ikiwa kafyu ya usiku kote nchini...