• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 6:55 PM

Kagwe atishia kuadhibu walipishao chanjo

Na WINNIE ONYANDO WAZIRI wa Afya, Mutahi Kagwe ametishia kuyaondoa kwenye orodha majina ya vituo vya afya vyenye mazoea ya kuwatoza...

Aina hatari ya corona imetua nchini – Kagwe

Na BENSON MATHEKA Waziri wa Afya, Mutahi Kagwe, amekiri kwamba visa vya maambukizi ya aina mpya hatari ya corona iliyogunduliwa Afrika...

Bara la Afrika lalala huku dunia ikianzisha chanjo ya corona

LEONARD ONYANGO na MASHIRIKA NCHI za Afrika zimo hatarini kubaki nyuma katika vita dhidi ya virusi vya corona wakati mataifa mengine...

Kagwe anapotosha Wakenya – Madaktari

WANDERI KAMAU na WAIKWA MAINA MADAKTARI na matabibu wameilaumu serikali ya kitaifa na zile za kaunti kwa kutumia mbinu chafu kwenye...

Kagwe akaangwa kuwatishia wahudumu wa afya

NA WANGU KANURI Matamshi ya Waziri wa Afya Mutahi Kagwe yameibua hisia tata katika mtandao wa kijamii wa Twitter huku Wakenya wengi...

Shinikizo zazidi Kagwe ajiuzulu au afutwe kazi

FAITH NYAMAI na ONYANGO K’ONYANGO MUUNGANO wa Makanisa ya Kipentekosti unamtaka Waziri wa Afya, Mutahi Kagwe, ajiuzulu kuhusiana na...

Msaada wa corona haukuibwa, Kagwe sasa asema

Na CHARLES WASONGA WAZIRI wa Afya Mutahi Kagwe sasa amebadilisha msimamo na kukana madai kwamba sehemu ya shehena ya msaada wa vifaa vya...

Wizara yangu ilipokea Sh3b kati ya Sh48b – Kagwe

Na CHARLES WASONGA WAZIRI wa Afya Mutahi Kagwe Jumatatu aliwaambia wabunge kwamba Wizara yake ilipokea asilimia 15 pekee ya Sh47.9 bilioni...

COVID-19: Visa vipya ni 606 idadi jumla nchini Kenya ikifika 18,581

Na MWANDISHI WETU VISA vipya vya ugonjwa wa Covid-19 nchini Kenya ni 606 baada ya sampuli 4,888 kufanyiwa vipimo saa 24 zilizopita;...

KAGWE: Serikali Tanzania iwashughulikie raia wake wagonjwa wa Covid-19

Na SAMMY WAWERU WIZARA ya Afya ilisema Jumanne ni wajibu wa serikali ya nchi jirani ya Tanzania kushughulikia raia wake waliopatikana na...

Serikali yaonya wakazi wa Kiambu, Murangá, Machakos na Kajiado

Na CHARLES WASONGA WAZIRI wa Afya Mutahi amewataka wakazi wa kaunti za Machakos, Kajiado, Kiambu na Murangá kuwa waangalifu na kuzingatia...

Waliomkejeli Brenda wakamatwe – Kagwe

Na CHARLES WASONGA WAZIRI wa Afya Mutahi Kagwe ameamuru polisii kuwakamata watu wanaeneza jumbe za kuwaharibia jina Brenda Cherotich na...