• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 3:25 PM

Kakamega kumkosa kuingo Francis Omondi

Na JOHN KIMWERE HUENDA Kakamega Homeboyz itakosa huduma za kiungo, Francis Omondi kwenye mechi zilizosalia za Ligi Kuu ya Soka la Kenya...

Kakamega yanasa 3, yataka moja ikafunge

Na JOHN KIMWERE KAKAMEGA Homeboyz imetwaa huduma za wachezaji watatu huku Thomas Wainaina akihamia FC Talanta kwa maelewano kutoka pande...

Kakamega Homeboyz yawapiga wenyeji Mathare United

Na GEOFFREY ANENE KAKAMEGA Homeboyz imeandikisha ushindi wake wa kwanza kabisa ikicheza dhidi ya Mathare United ugenini kwenye Ligi Kuu...

Kocha wa Kakamega Homeboyz afichua mbinu aliyotumia kuigaragaza Tusker

Na CHRIS ADUNGO KOCHA wa Kakamega Homeboyz, Mike Mururi hatimaye amefichua siri aliyotumia kuizima timu ya kocha mwenzake Robert Matano,...

Gor kuchuana na Kakamega Homeboyz ‘tarehe nyingine’

Na CHRIS ADUNGO MECHI ya KPL ya Gor Mahia dhidi ya Kakamega Homeboyz imeahirishwa baada ya Gor kuendelea kushiriki katika mashindano ya...

Burudani Kakamega Homeboyz ikiumiza nyasi dhidi ya Vihiga United

Na CECIL ODONGO  WAPENZI wa soka Magharibi mwa nchi wikendi hii watakuwa na burudani ya kipekee kwenye debi kali ya KPL kati ya timu ya...