• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 6:50 PM

Kalonzo, Muthengi wataka wakazi walipwe fidia kupisha ujenzi wa mradi wa High Grand Falls

NA RICHARD MUNGUTI KIONGOZI wa chama cha kisiasa cha Wiper Kalonzo Musyoka na diwani wa wadi ya Tharaka, Muthengi Ndagara, wameomba...

Mikakati ya Kalonzo kurithi Raila Azimio

NA MOSES NYAMORI KIONGOZI wa Wiper, Kalonzo Musyoka amesuka mikakati ya kurithi ngome za kisiasa za mshirika wake wa miaka mingi, Raila...

Kalonzo achanganyikiwa baada ya kutoka Azimio, ataka muda wa kutafakari

NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka ameonakana kuchanganyikiwa aliposema bado ana nafasi ya kurejea ndani ya muungano...

Raila: Washirika wa Kalonzo sasa walegeza kamba

NA PIUS MAUNDU WASHIRIKA wenye msimamo mkali wa kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka, sasa wamelegeza msimamo wao na kukubali amuunge...

Kalonzo hatimaye ajiunga na Raila dakika za mwisho

NA CECIL ODONGO KIONGOZI wa Wiper, Kalonzo Musyoka, Jumamosi alitupilia mbali azma yake ya urais, akaingia katika muungano wa Azimio La...

Kalonzo kuachwa kwa mataa

NA LEONARD ONYANGO KIONGOZI wa chama cha Wiper, Kalonzo Musyoka anakumbwa na hatari ya kutengwa kisiasa iwapo atafeli kujiunga na...

Kalonzo akana madai ya kutoa masharti kwa Raila

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka amekana madai kuwa ametoa masharti makali kwa kiongozi wa ODM Raila Odinga kabla ya...

Kalonzo alaani ubomoaji katika mtaa wa Mukuru

Na CECIL ODONGO KINARA wa Wiper Kalonzo Musyoka amelaani ubomoajii ambao umekuwa ukiendelea katika mtaa wa mabanda wa Mukuru kwa Njenga...

Ushawishi wa Kalonzo Pwani wafifia 2022 ikinukia

Na LUCY MKANYIKA USHAWISHI wa kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka katika eneo la Pwani unaendelea kudidimia huku wanachama wake wakigura...

Kalonzo awalilia vinara wa OKA wampe tiketi apeperushe bendera ya urais 2022

Na SAMMY WAWERU KIONGOZI wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka amewalilia vinara wenza katika Okoa Kenya Alliance (OKA) kumpa tiketi ya...

Amani: Kalonzo kutuzwa leo Dubai

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka leo Jumatatu atakuwa miongoni mwa watu watakaopokezwa tuzo mbali mbali Dubai...

Kuongeza bei ya mafuta kunaongezea umaskini Kenya – Kalonzo

Na WINNIE ONYANDO VIONGOZI wa kisiasa wakiongozwa na Kinara wa Wiper, Kalonzo Musyoka waliishutumu serikali vikali kwa kuongeza bei za...