Tag: kamari
- by adminleo
- July 31st, 2019
Maseneta waitaka serikali kurejesha leseni za kampuni za kamari zilizozimwa
Na CHARLES WASONGA MASENETA wameitaka serikali kuziruhusu kampuni za kamari na ubashiri ambazo leseni zao zilifutiliwa mbali kuendelea...
- by adminleo
- July 30th, 2019
Maoni ya wananchi kuhusu kamari
BERNARD ROTICH na WYCLIFF KIPSANG WANANCHI wametoa maoni mseto kuhusu michezo ya kamari, baadhi wakitaka sheria zilegezwe huku wengine...
- by adminleo
- July 16th, 2019
Matiang’i awatimua wakurugenzi wa Sportpesa na Betin
Na PETER MBURU SERIKALI Jumanne iliagiza wakurugenzi 17 wa kampuni za kamari ambao si raia wa Kenya watimuliwe mara moja. Hii ni...
- by adminleo
- July 15th, 2019
Sportpesa yafichua imekuwa ikipata faida ya Sh54 milioni kila siku
Na PETER MBURU KAMPUNI ya michezo na Kamari Sportpesa 2018 ilikuwa ikipata faida ya Sh38, 051.75 kila dakika, ama Sh634 kila sekunde...
- by adminleo
- July 14th, 2019
Kinaya Sportpesa kutuzwa na serikali kisha kuzimwa
Na VALENTINE OBARA NIA halisi ya serikali kupiga marufuku kampuni za uchezaji kamari nchini, imeanza kutiliwa shaka kutokana na maelezo...
- by adminleo
- July 13th, 2019
Kamari: Wengi kuumia
Na BENSON MATHEKA HATUA ya Serikali ya kunyima kampuni kubwa za kamari nchini leseni itaathiri pakubwa uchumi wa nchi. Kwa kupokonywa...
- by adminleo
- June 29th, 2019
Matiang’i aonya kampuni za uchezaji kamari
Na RUTH MBULA WAZIRI wa Usalama wa Ndani, Dkt Fred Matiang’i amesema kuwa leseni za kampuni nyingi za uchezaji kamari hazitatolewa...
- by adminleo
- June 18th, 2019
Sportpesa na Betin zatakiwa kuilipa KRA Sh8.5 bilioni
Na BERNARDINE MUTANU Mamlaka ya Kukusanya Ushuru (KRA) inataka kampuni ya mawasiliano ya simu ya Safaricom kukata kima cha Sh8.59...
- by adminleo
- May 22nd, 2019
Ndani kwa kumuua mwenzake wakizozania aliyeshinda kamari
Na PETER MBURU MWANAMUME kutoka Murang’a ambaye alishtakiwa kwa kumuua rafiki yake kufuatia mzozo wa mamari amefungwa miaka mitatu...
- by adminleo
- May 21st, 2019
KAMARI: Wafanyabiashara 17 wa kigeni wafurushwa
KENNEDY KIMANTHI na CHARLES WASONGA JUMLA ya raia wa kigeni 17 wanaojishughulisha na biashara ya kamari kinyume chama sheria nchini...
- by adminleo
- May 21st, 2019
Wanakamari wadaiwa Sh26 bilioni na serikali
Na BERNARDINE MUTANU KAMPUNI za kamari zinadaiwa na serikali Sh26 bilioni, ambazo ni ushuru kwa biashara zao. Habari hii ni kwa...
- by adminleo
- May 20th, 2019
Breki kwa marufuku ya matangazo ya kamari
MAUREEN KAKAH na CECIL ODONGO WATU maarufu wako huru kushiriki katika matangazo ya michezo ya pata potea. Hii ni kufuatia uamuzi wa...