• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 3:03 PM

Maseneta waitaka serikali kurejesha leseni za kampuni za kamari zilizozimwa

Na CHARLES WASONGA MASENETA wameitaka serikali kuziruhusu kampuni za kamari na ubashiri ambazo leseni zao zilifutiliwa mbali kuendelea...

Maoni ya wananchi kuhusu kamari

BERNARD ROTICH na WYCLIFF KIPSANG WANANCHI wametoa maoni mseto kuhusu michezo ya kamari, baadhi wakitaka sheria zilegezwe huku wengine...

Matiang’i awatimua wakurugenzi wa Sportpesa na Betin

Na PETER MBURU SERIKALI Jumanne iliagiza wakurugenzi 17 wa kampuni za kamari ambao si raia wa Kenya watimuliwe mara moja. Hii ni...

Sportpesa yafichua imekuwa ikipata faida ya Sh54 milioni kila siku

Na PETER MBURU KAMPUNI ya michezo na Kamari Sportpesa 2018 ilikuwa ikipata faida ya Sh38, 051.75 kila dakika, ama Sh634 kila sekunde...

Kinaya Sportpesa kutuzwa na serikali kisha kuzimwa

Na VALENTINE OBARA NIA halisi ya serikali kupiga marufuku kampuni za uchezaji kamari nchini, imeanza kutiliwa shaka kutokana na maelezo...

Kamari: Wengi kuumia

Na BENSON MATHEKA HATUA ya Serikali ya kunyima kampuni kubwa za kamari nchini leseni itaathiri pakubwa uchumi wa nchi. Kwa kupokonywa...

Matiang’i aonya kampuni za uchezaji kamari

Na RUTH MBULA WAZIRI wa Usalama wa Ndani, Dkt Fred Matiang’i amesema kuwa leseni za kampuni nyingi za uchezaji kamari hazitatolewa...

Sportpesa na Betin zatakiwa kuilipa KRA Sh8.5 bilioni

Na BERNARDINE MUTANU Mamlaka ya Kukusanya Ushuru (KRA) inataka kampuni ya mawasiliano ya simu ya Safaricom kukata kima cha Sh8.59...

Ndani kwa kumuua mwenzake wakizozania aliyeshinda kamari

Na PETER MBURU MWANAMUME kutoka Murang’a ambaye alishtakiwa kwa kumuua rafiki yake kufuatia mzozo wa mamari amefungwa miaka mitatu...

KAMARI: Wafanyabiashara 17 wa kigeni wafurushwa

KENNEDY KIMANTHI na CHARLES WASONGA JUMLA ya raia wa kigeni 17 wanaojishughulisha na biashara ya kamari kinyume chama sheria nchini...

Wanakamari wadaiwa Sh26 bilioni na serikali

Na BERNARDINE MUTANU KAMPUNI za kamari zinadaiwa na serikali Sh26 bilioni, ambazo ni ushuru kwa biashara zao. Habari hii ni kwa...

Breki kwa marufuku ya matangazo ya kamari

MAUREEN KAKAH na CECIL ODONGO WATU maarufu wako huru kushiriki katika matangazo ya michezo ya pata potea. Hii ni kufuatia uamuzi wa...