Tag: kanisa
- by adminleo
- March 5th, 2019
Jinsi ya kutambua dhehebu lenye imani potovu
NA MHARIRI WAUMINI huhitajika uaminifu wao wote uwe kwa kiongozi wao wa kidini, na hii huhitaji kukatiza mahusiano ya kifamilia na...
- by adminleo
- February 4th, 2019
Marwa: Tuko tayari kumaliza zogo la kanisa Adventista
NA CECIL ODONGO VIONGOZI Waadventista wenye hadhi serikalini na katika jamii walitangaza kujitolea kwao kupatanisha kambi mbili...
- by adminleo
- January 23rd, 2019
Pasta atimua polo kumtamani bintiye kanisani
NA JOHN MUSYOKI MACHAKOS MJINI KISANGA kilizuka katika kanisa moja hapa jamaa alipofurushwa kwa madai ya kuharibu binti ya pasta....
- by adminleo
- January 7th, 2019
Vurugu waumini wakipinga pasta kutumia hela za kanisa kujinunulia gari
Na CAROLINE MUNDU VURUGU zilitokea katika Kanisa la Nyalenda Baptist mjini Kisumu Jumapili kufuatia madai kwamba pasta alitumia pesa za...
- by adminleo
- November 22nd, 2018
Pasta ndani miaka 15 kwa kubaka waumini 8 mara 40 kanisani
Na GEOFFREY ANENE PASTA mmoja kutoka nchi ya Korea Kusini amehukumiwa kifungo cha miaka 15 gerezani Alhamisi kwa kubaka waumini wanane...
- by adminleo
- October 31st, 2018
Serikali ikate fungu la kumi kwenye mishahara ya waumini – Askofu
DAILY MONITOR Na PETER MBURU MHUBIRI mmoja kutoka Kampala, Uganda ametoa pendekezo lisilo la kawaida, kuwa serikali iwe ikiwakata waumini...
- by adminleo
- October 15th, 2018
Jombi aomba kanisa limsaidie kutimua mke
Na TOBBBIE WEKESA KABARI, KIRINYAGA Kalameni mmoja aliwashangaza waumini wa kainsa moja la hapa alipoingia kanisani na kuomba...
- by adminleo
- July 16th, 2018
Kioja miili ya mwanamume na mwanamke kupatikana na kondomu ndani ya kanisa
Na MWANGI MUIRURI MAAFISA wa polisi katika Kaunti ya Kirinyaga wanachunguza kisa ambapo miili ya mwanamume na mwanamke iliyokuwa uchi wa...
- by adminleo
- June 12th, 2018
Jela miezi 6 kwa kupanda bangi kanisani akidai ni maua
Na TITUS OMINDE MWANAUME mmoja alifungwa jela Jumatatu na mahakama ya Eldoret baada ya kupatikana na hatia ya kupanda mmea wa bangi...
- by adminleo
- May 31st, 2018
Buda akiri kanisani anakaranga yaya na mkewe kwa kikaango kimoja
Na SAMMY WAWERU MUNYU, THIKA KIOJA kilishuhudiwa katika kanisa moja mtaani hapa mzee aliyeokoka alipokiri kwamba alikuwa na uhusiano...
- by adminleo
- May 10th, 2018
Gunia la miraa latolewa kanisani kama sadaka
Na LEAH MAKENA MUTUATI, MERU Polo wa eneo hili alishangaza waumini wa kanisa moja kwa kupeleka gunia la miraa kanisani kama sadaka ya...
- by adminleo
- May 6th, 2018
Akemea pasta kanisani kumchochea aachane na mumewe amtafutie bwanyenye
Na CORNELIUS MUTISYA KAVIANI, MACHAKOS MAMA wa hapa alimkemea pasta wake mbele ya waumini akimshutumu kwa kumchochea amteme mumewe...