Tag: kansa
- by adminleo
- August 28th, 2019
Aliyekuwa mwenyekiti TLB afariki kutokana na kansa
Na GEORGE SAYAGIE ALIYEKUWA mwenyekiti wa Bodi ya Utoaji Leseni katika Sekta ya Uchukuzi (TLB), Hassan Ole Kamwaro amefariki kutokana na...
- by adminleo
- August 12th, 2019
Aliyejiua kuhusu kansa alihofia upasuaji – Familia
Na JAMES MURIMI MGONJWA wa kansa aliyejitoa uhai katika Kaunti ya Laikipia wiki iliyopita, alikuwa na wasiwasi mwingi na hofu ya...
- by adminleo
- August 7th, 2019
Thailand kutumia bangi kutibu kansa
NA MASHIRIKA BANGKOK, Thailand WIZARA ya Afya Jumatatno ilipokea shehena ya kwanza ya mafuta ya bangi yatakayotumiwa katika matibabu...
- by adminleo
- August 6th, 2019
Huenda serikali iliuzia Wakenya kansa 2008
Na VALENTINE OBARA HOFU imeibuka miongoni mwa Wakenya kwamba mahindi yenye sumu ya aflatoxin, yaliyoingizwa nchini kutoka ng’ambo...
- by adminleo
- August 6th, 2019
WASONGA: Juhudi zifanywe kufunza madaktari zaidi kuhusu kansa
Na CHARLES WASONGA TATIZO kuu katika mpango mzima wa tiba ya magonjwa sugu nchini huwa ni ukosefu wa wataalamu, vifaa na dawa za kutibu...
- by adminleo
- August 1st, 2019
Wataalamu wapuuza dai la ‘mursik’ kusababisha saratani
Na EDITH CHEPNGENO WATAALAM kuhusu ugonjwa wa saratani wamepuuzilia mbali hofu inayohusisha mursik ambayo ni maziwa yaliyogandishwa, na...
- by adminleo
- July 31st, 2019
Serikali yaomba mchango kujenga kituo cha saratani
Na VALENTINE OBARA WANANCHI wameghadhabishwa na hatua ya serikali kuwaomba wachange fedha za ujenzi wa kituo cha matibabu ya kansa...
- by adminleo
- July 30th, 2019
DCI alaumu ufisadi kwa ongezeko la kansa nchini
Na VALENTINE OBARA WAFANYABIASHARA matapeli wanaouza bidhaa ghushi, hasa vyakula, wamelaumiwa kwa ongezeko la maradhi ya kansa...
- by adminleo
- July 30th, 2019
BURIANI LABOSO: Saratani sasa janga la kitaifa
VALENTINE OBARA na GEORGE MUNENE WAKENYA elfu 33 wanafariki kila mwaka kutokana na kansa, ugonjwa ambao Jumatatu ulimuua Gavana Joyce...
- by adminleo
- July 30th, 2019
Watu mashuhuri walioangamizwa na kansa
Na BENSON MATHEKA KIFO cha Gavana wa Bomet Joyce Cherono Laboso kimeongeza idadi ya watu mashuhuri ambao wameuawa na kansa...
- by adminleo
- July 29th, 2019
TANZIA: Kumhusu Dkt Joyce Laboso
NA MWANGI MUIRURI SIKU nne tu baada ya saratani kumnyakua aliyekuwa mbunge wa Kibra Bw Ken Okoth (41), gavana wa Kaunti ya Bomet, Dkt...
- by adminleo
- July 29th, 2019
SARATANI WATUTAKIANI?
NA NEHEMIAH OMUKONYA Ninaandika, chozi likinidondoka, Nahuzunika, wapendwa tukiwazika, Hapa nataka, 'jua tutavyoepuka, Saratani! Tukupe...