Tag: karantini
- by adminleo
- July 3rd, 2020
Wafanyakazi saba wa Lamu Palace wawekwa karantini hotelini humo
Na KALUME KAZUNGU WAFANYAKAZI saba wa hoteli ya kifahari ya Lamu Palace iliyoko kisiwa cha Lamu wamewekwa kwenye karantini ya...
- by adminleo
- June 17th, 2020
61 waliosafiri kinyume cha sheria wawekwa karantini kwa gharama yao
MANASE OTSIALO Polisi wa kaunti ya Mandera wamekamata dereva aliyesafirisha watu 61 kutoka mji wa Nairobi kinyume na makataa ya kutotoka...
- by adminleo
- June 15th, 2020
14 waliotangamana na aliyeugua corona watupwa kwa karantini
NA ELIZABETH OJINA WATU wasiopungua 14 waliotangamana na mgonjwa wa corona kaunti ya Nyamira Jumapili wametafutwa na kuwekwa...
- by adminleo
- May 10th, 2020
KNUT yataka walio karantini shuleni waondolewe
Na FAITH NYAMAI KATIBU Mkuu wa Chama cha Kitaifa cha Walimu Kenya (KNUT), Bw Wilson Sossion, anataka watu waliowekwa karantini katika...
- by adminleo
- May 8th, 2020
Karantini zageuzwa madanguro
Na WAANDISHI WETU MAAFISA wa serikali Kaunti ya Nyamira wanasema baadhi ya watu wanaozuiliwa karantini kwa kushukiwa kuwa na virusi vya...
- by adminleo
- May 4th, 2020
Polisi kutenga vituo vipya vya karantini kwa wanaokiuka kafyu
Na CHARLES WASONGA WALE wanaovunja sheria ya kafyu sasa watakuwa wakizuiliwa katika vituo vya karantini vilivyotengwa na serikali na...