Tag: KCPE
Wanafunzi wa Kidato cha Nne, Darasa la Nane na Darasa la Nne kurejea shuleni Jumatatu
NA FAUSTINE NGILA WIZARA ya Elimu imewataka wanafunzi wa Kidato cha Nne, Darasa la Nane na Darasa la Nne kurejea shuleni Jumatatu ijayo...
- by adminleo
- July 10th, 2020
Walimu, wanafunzi watoa kauli tofauti kuhusu KCPE
Na MISHI GONGO WANAFUNZI na walimu wanaofunza da Darasa la Nane na Kidato cha Nne waliostahili kufanya mtihani wa kitaifa mwaka huu...
- by adminleo
- June 18th, 2020
Serikali sasa yaahirisha KCPE na KCSE hadi 2021
CHARLES WASONGA na WANDERI KAMAU MITIHANI ya kitaifa haitaandaliwa mwaka huu baada ya kuahirishwa hadi mwaka ujao kwa sababu ya janga la...
- by adminleo
- April 23rd, 2020
Rais ahakikishia taifa mitihani ya kitaifa itafanywa mwaka huu
Na SAMMY WAWERU Rais Uhuru Kenyatta amehakikishia taifa kuwa mitihani ya kitaifa ya darasa la nane, KCPE na kidato cha nne, KCSE, 2020...
- by adminleo
- December 11th, 2019
Mwanafunzi afadhiliwa baada ya masaibu yake kuangaziwa na ‘Taifa Leo’
Na OSBORN MANYENGO MTAHINIWA aliyeibuka bora zaidi katika shule ya umma ya Kaptien, Kaunti ya Trans-Nzoia kwa kuzoa alama 406 katika...
- by adminleo
- December 3rd, 2019
KCPE: Maelfu wavunjika moyo
OUMA WANZALA Na CHARLES WANYORO MAELFU ya watahiniwa wa mtihani wa mwaka huu wa Darasa la Nane (KCPE), wamevunjika moyo baada ya kukosa...
- by adminleo
- November 24th, 2019
KCPE: Azoa alama 401 licha ya kumuuguza mamaye miaka 4
ERICK MATARA NA RICHARD MAOSI KWA miaka minne Sharon Wangeci mwenye umri wa miaka 13 alilazimika kugawanya muda wake, kusoma na...
- by adminleo
- November 21st, 2019
KCPE: Tamaduni zawazuia wazazi kusheherekea matokeo bora
NA WAIKWA MAINA HUKU shamrashara za matokeo ya Mtihani wa KCPE zikiendelea kote nchini, familia za baadhi ya watahiniwa walilazimika...
- by adminleo
- November 21st, 2019
KCPE: Walimu walia kutumika kama watumwa
Na BENSON MATHEKA Walimu waliosahihisha mtihani wa darasa la nane mwaka huu ambao matokeo yake yalitolewa Jumatatu, wameelezea masaibu...
- by adminleo
- November 19th, 2019
Nderemo waliovuma wakishangilia matokeo
REGINA KINOGU NA JUMA NAMLOLA VIFIJO na nderemo zilipamba moto Jumatatu katika kijiji cha Maragima eneobunge la Kieni, Kaunti ya Nyeri...
- by adminleo
- November 18th, 2019
KCPE: Wenye miaka mingi wafeli
Na LEONARD ONYANGO WATAHINIWA wenye umri wa zaidi ya miaka 12 na watahiniwa waliokomaa wa kuanzia miaka 17 na zaidi, walifanya vibaya...
- by adminleo
- November 18th, 2019
KCPE: Nairobi yaongoza kwa waliofanyia mtihani gerezani
Na JUMA NAMLOLA KAUNTI za Nairobi, Kisumu na Nakuru ziliongoza kwa idadi ya wafungwa waliofanya mtihani wa KCPE mwaka huu. Nairobi...