Tag: KCPE
- by adminleo
- November 18th, 2019
KCPE: Shule za kibinafsi za wasichana zawika
Na WAANDISHI WETU Shule ya kibinafsi ya High Vision iliwacha shule zinazoongoza za kibinafsi vinywa wazi baada ya kutoa mwanafunzi bora...
- by adminleo
- November 18th, 2019
KCPE: Matokeo ya wanafunzi walemavu yaimarika
NA CECIL ODONGO HUKU sherehe zikiendelea kunoga maeneo mbalimbali ya nchi baada ya Mtihani wa Kitaifa wa Darasa la Nane(KCPE) kutolewa...
- by adminleo
- November 18th, 2019
KCPE: Wanafunzi kufahamu shule watakazojiunga nazo Desemba 2
NA CECIL ODONGO WANAFUNZI 1,083,456 waliofanya Mtihani wa Kitaifa wa Darasa la Nane (KCPE), ambao matokeo yake yalitolewa Jumatatu,...
- by adminleo
- November 18th, 2019
Shangwe kijijini mwanafunzi kuongoza #KCPE2019 kwa alama 440
Na REGINA KINOGU VIFIJO na shangwe zimeshuhudiwa Jumatatu katika kijiji cha Maragima, eneobunge la Kieni, Kaunti ya Nyeri baada ya Andie...
- by adminleo
- November 1st, 2019
Watahiniwa KCPE kujua shule za upili kabla Krismasi
Na FAITH NYAMAI WANAFUNZI waliofanya mtihani wa Darasa la Nane (KCPE) mwaka 2019 watajua shule za sekondari ambazo watateuliwa kujiunga...
- by adminleo
- October 31st, 2019
Nyuki wasababisha watahiniwa wa kiume kufanyia mtihani katika shule ya wasichana
NA KALUME KAZUNGU WATAHINIWA 50 wa mtihani wa kitaifa wa darasa la nane (KCPE) walijeruhiwa Jumatano bumba la nyuki lilipoanguka ghafla...
- by adminleo
- October 30th, 2019
Watu wanane wakiwemo maafisa kadha wakamatwa Matungu kwa kukiuka sheria na kanuni za KCPE
Na SHABAN MAKOKHA [email protected] MAAFISA kadha ni miongoni mwa watu wanane katika kaunti ndogo ya Matungu, Kaunti ya...
- by adminleo
- February 19th, 2019
Wazazi wanunulia shule basi kama zawadi ya matokeo bora
Na DERICK LUVEGA WAZAZI katika Kaunti ya Vihiga wamenunulia shule basi na kujenga madarasa ya mamilioni ya pesa kama zawadi ya matokeo...
- by adminleo
- January 4th, 2019
VITIMBI: Wavulana waitwa shule za wasichana
Na WAANDISHI WETU Baadhi ya wanafunzi waliofanya mtihani wa Darasa la Nane 2018 hawataweza kujiunga na Kidato cha Kwanza kuanzia...
- by adminleo
- December 11th, 2018
TAHARIRI: Matokeo mazuri si shule tu bali pia juhudi
NA MHARIRI Juma lililopita zaidi ya wanafunzi milioni moja waliteuliwa shule watakazojiunga nazo kuanzia mwezi ujao. Kati yao, wanafunzi...
- by adminleo
- November 28th, 2018
WAMALWA: Matokeo ya KCPE yawe msingi wa makuu ya baadaye
NA STEPHEN WAMALWA HONGERA kwa wanafunzi 1,052,364, wavulana 527,294 na wasichana 525,070 waliofanya mtihani wa darasa la nane (KCPE)...
- by adminleo
- November 21st, 2018
KCPE: Kakamega yatoa mtahiniwa bora mwaka wa nne mfululizo
Na PETER MBURU KAUNTI ya Kakamega, imetoa mtahiniwa bora kote nchini kwa mwaka wa nne mfululizo kulingana na matokeo ya mwaka huu ya...