• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 4:50 PM

Mvutano kuhusu mswada tata wa vyama kukita katika seneti

Na CHARLES WASONGA WANDANI wa Naibu Rais William Ruto na kiongozi wa ODM Raila Odinga katika seneti wanatarajiwa kukabiliana tena wakati...

Shughuli za Bunge kukwama maspika wakishiriki kampeni za uchaguzi

Na CHARLES WASONGA TAASISI ya Bunge itapitia kipindi cha aina yake mwaka 2022 kwa sababu, kwa mara ya kwanza katika historia ya taifa...

Lusaka awarai wanasiasa Waluhya wasibuni vyama vingine

Na BRIAN OJAMAA SPIKA wa Bunge la Seneti Ken Lusaka ametoa wito kwa wanasiasa wa jamii ya Mulembe wakome kubuni vyama vingine vidogo na...

Wanaotaka ugavana wamsuta Wetang’ula kupendekeza Lusaka

Na BRIAN OJAMAA WANASIASA wanaolenga kuwania ugavana Kaunti ya Bungoma, wamemtaka Seneta Moses Wetang’ula, kukoma kuelekeza wakazi...

Weta aamua ni Lusaka tosha ugavana 2022

Na BRIAN OJAMAA KIONGOZI wa Ford Kenya Moses Wetang'ula amemwidhinisha rasmi Spika wa Seneti Ken Lusaka kuwania ugavana wa Bungoma...

Lusaka akiri kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na aliyemshtaki

Na Joseph Wangui SPIKA wa Bunge la Seneti Kenneth Lusaka amekiri kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na mwanamke ambaye aliekea kortini...

HATIMA YA SONKO: Lusaka awaita maseneta wote

Na CHARLES WASONGA MASENETA Jumatano wataanza kusikiliza mashtaka dhidi ya Gavana wa Nairobi Mike Sonko ambayo yalisababisha madiwani wa...

Lusaka achapisha rasmi notisi ya seneti kujadili hatima ya Sonko

Na CHARLES WASONGA SPIKA wa Seneti Ken Lusaka amechapisha kwenye gazeti rasmi la serikali notisi ya kikao maalum cha maseneta...