Tag: ken okoth
- by adminleo
- August 6th, 2019
Wasia wa mfu utakuwa ukizingatiwa utata ukiibuka – Mahakama
NA MAUREEN KAKAH MAHAKAMA Kuu juzi ilitoa uamuzi ambao unaheshimu wasia wa marehemu kuhusu anakofaa kuzikwa iwapo utata utaibuka na...
- by adminleo
- August 5th, 2019
Kuteua ‘mipango ya kando’ kwa afisi za serikali ni uhaini – Kuria
Na MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Gatundu Kusini Moses Kuria Jumatatu amesema kuwa kukiri kwa gavana wa Nairobi Mike Mbuvi Sonko kuwa alimteua...
- by adminleo
- August 5th, 2019
Wazee wataka mkewe Ken Okoth ‘arithiwe’ kulingana na mila
Na PETER MBURU BARAZA la wazee katika jamii ya Luo sasa linawataka mama na mjane wa mbunge wa Kibra aliyeaga dunia majuzi Ken Okoth...
- by adminleo
- August 3rd, 2019
Maiti ya Okoth yateketezwa Kariokor
Na MARY WANGARI MWILI wa Mbunge wa Kibra Ken Okoth umeteketezwa Jumamosi katika makaburi ya kuchomea maiti ya Kariokor huku mamake...
- by adminleo
- August 2nd, 2019
Roho ya Okoth yataabika
Na BENSON MATHEKA ROHO ya aliyekuwa mbunge wa Kibra, Ken Okoth, inaendelea kuhangaika wiki moja baada ya kifo chake, kufuatia mizozo...
- by adminleo
- August 1st, 2019
Laboso, Okoth wamiminiwa sifa ibada ya wafu
NA LEONARD ONYANGO WAKENYA wakiwemo viongozi wa kisiasa, Alhamisi waliungana kutoa risala zao kwa familia za aliyekuwa Gavana wa Bomet...
- by adminleo
- July 31st, 2019
Hatutakubali mwili wa Ken Okoth kuchomwa – Wazee
GEORGE ODIWUOR Na BENSON MATHEKA KUNDI moja la baraza la wazee wa jamii ya Waluo limesema kwamba halitakubali mwili wa aliyekuwa...
- by adminleo
- July 31st, 2019
Familia ya Ken Okoth yalia kutohusishwa kwa mipango ya mazishi
Na GEORGE ODIWUOR FAMILIA ya baba ya aliyekuwa Mbunge wa Kibra, Ken Okoth inadai kwamba haijahusishwa katika mipango ya mazishi...
- by adminleo
- July 30th, 2019
KEN OKOTH: 1978 hadi 2019
Na MWANGI MUIRURI IKIWA mtu ni utu, basi wengi wa wenyeji wa eneobunge la Kibra katika Kaunti ya Nairobi wanasema kuwa marehemu mbunge...
- by adminleo
- July 27th, 2019
Walichoandika baadhi ya watumiaji mitandao ya kijamii kumhusu Ken Okoth
Na MARY WANGARI WATUMIAJI mitandao ya kijamii mbalimbali wameendelea kumwomboleza Mbunge wa Kibra Bw Ken Okoth aliyefariki Ijumaa...