Tag: Kenya airways
Kenya Airways yatangaza hasara kubwa ya Sh36.6b
Na PETER MBURU SHIRIKA la Ndege la Kenya Airways (KQ) Jumanne lilitangaza kupata hasara ya Sh36.6 bilioni mwaka uliomalizika, ambacho ni...
- by adminleo
- May 22nd, 2019
Kinara wa KQ alipwa Sh62m shirika likipata hasara ya mabilioni
Na BERNARDINE MUTANU AFISA mkuu mtendaji wa shirika la ndege la Kenya Airways Sebastian Mikosz anasemekana kulipwa jumla ya Sh62.89...
- by adminleo
- March 21st, 2019
Kenya Airways kushirikiana na Alitalia
Na BERNARDINE MUTANU Kampuni ya ndege ya Kenya Airways imeingia katika mkataba na kampuni kubwa zaidi ya ndege ya Italia, Alitalia, kwa...
- by adminleo
- November 15th, 2018
KQ yaahirisha safari za Somalia hadi Desemba
Na BERNARDINE MUTANU Shirika la Ndege la Kenya Airways limetangaza kuahirisha uzinduzi wa safari zake za moja kwa moja kuelekea...
- by adminleo
- November 14th, 2018
Baridi yailazimisha KQ kupunguza safari za Amerika
Na BERNARDINE MUTANU Shirika la Uchukuzi wa Ndege (KQ) limepunguza idadi ya safari za moja kwa moja kwenda Marekani siku chache baada ya...
- by adminleo
- October 30th, 2018
NGILA: Safari za moja kwa moja hadi Amerika ziimarishe utalii nchini
NA FAUSTINE NGILA MAENDELEO ambayo yameshuhudiwa katika sekta ya utalii mwezi Oktoba yanastahili pongezi. Wakati nilihudhuria kikao cha...
- by adminleo
- October 30th, 2018
Ndege ya kwanza ya Kenya yatua Marekani baada ya saa 15 angani
Na WANDERI KAMAU NDEGE ya Kenya iliyofanya safari ya kwanza ya moja kwa moja kati ya Kenya na Marekani, jana ilitua salama salimini...
- by adminleo
- October 23rd, 2018
Wafanyakazi wa KQ watisha kugoma safari za Amerika zikikaribia
Na BERNARDINE MUTANU Huku zikiwa zimesalia siku chache kabla ya Shirika la Ndege la Kenya Airways (KQ) kuanza safari ya moja kwa moja hadi...
- by adminleo
- September 25th, 2018
Uhuru avumisha Kenya Airways nchini Amerika
Na PSCU RAIS Uhuru Kenyatta alianza shughuli za kikazi jijini New York, Marekani Jumapili kwa kukutana na wafanyabiashara mashuhuri na...
- by adminleo
- August 22nd, 2018
Mahakama ya Rufaa yabatilisha uamuzi kuhusu wahandisi 115 wa KQ
Na BERNARDINE MUTANU KAMPUNI ya Ndege ya Kenya Airways imeshinda kesi ambapo Mahakama ya Rufaa imetoa uamuzi kuwa ilikuwa makosa...
- by adminleo
- May 17th, 2018
Unaruhusiwa kubeba mkoba mmoja pekee ndani ya KQ
Na BERNARDINE MUTANU Shirika la Ndege la Kenya Airways (KQ) limepunguza kiwango cha mizigo kwa ndege zake zinazohudumu...