Tag: kieleweke
Mawimbi ya BBI yanavyoyumbisha kundi la Kieleweke
Na WANDERI KAMAU HATUA ya Seneta Irungu Kang’ata wa Murang’a kumwandikia barua Rais Uhuru Kenyatta mapema wiki hii kwamba huenda...
- by adminleo
- December 5th, 2019
Kieleweke sasa wataka Kiunjuri avuliwe uwaziri
Na NDUNGU GACHANE VIONGOZI wa kundi la Kieleweke wamemtaka Waziri wa Kilimo Mwangi Kiunjuri ajiuzulu wadhifa wake kisha ajiunge na...
- by adminleo
- September 27th, 2019
Msajili akataa Tangatanga, Kieleweke
Na LEONARD ONYANGO JUHUDI za baadhi ya wanasiasa kutaka kugeuza makundi ya 'Kieleweke' na 'Tangatanga' kuwa vyama vya kisiasa zimegonga...
- by adminleo
- July 4th, 2019
Kieleweke wataka Ruto ajiuzulu
Na CHARLES WASONGA WANASIASA wanaopinga azma ya Naibu Rais Dkt William Ruto kuwania urais mwaka 2022, Timu Kieleweke, wanataka ajiuzulu...
- by adminleo
- June 18th, 2019
Kieleweke wadai Ruto alimchokoza Rais ndipo akazomewa hadharani
Na NDUNGU GACHANE WANACHAMA wa Jubilee wanaopinga kampeni za mapema za Naibu Rais William Ruto wamedai matamshi ya Rais Uhuru Kenyatta...
- by adminleo
- June 16th, 2019
JAMVI: Tangatanga na Kieleweke wazua uadui kati ya wazee na makanisa
Na WANDERI KAMAU TOFAUTI za kisiasa kati ya mirengo ya ‘Tangatanga’ na ‘Kieleweke’ sasa zimewagawanya wazee na makanisa kuwili...
- by adminleo
- June 9th, 2019
Jubilee imekufa, Kieleweke sasa wadai
Na NDUNGU GACHANE KUNDI la wabunge wa chama cha Jubilee wanaopinga azma ya Naibu Rais William Ruto kuingia Ikulu mwaka wa 2022 sasa...
- by adminleo
- June 2nd, 2019
JAMVI: ‘Kieleweke’ kutaka kutambuliwa Bungeni ni dalili ya Jubilee kufifia
Na CHARLES WASONGA HATUA ya wabunge wanaopinga azma ya Naibu Rais William Ruto kuingia Ikulu mwaka wa 2022 kumwandikia Spika wa Bunge...
- by adminleo
- May 19th, 2019
Makundi ya ‘Tangatanga’ na ‘Kieleweke’ yamchanganya Sonko
Na LEONARD ONYANGO MGAWANYIKO ndani ya chama cha Jubilee umemwacha Gavana wa Nairobi Mike Sonko katika njiapanda kisiasa. Gavana huyo...
- by adminleo
- May 14th, 2019
‘Kieleweke’ wadai Ruto anavuruga viongozi Mlima Kenya
Na NDUNGU GACHANE VIONGOZI kadha wa Mlima Kenya wamemhusisha Naibu Rais, Dkt William Ruto na mgawanyiko unaokumba eneo hilo. Wanadai...
- by adminleo
- May 13th, 2019
‘Tangatanga’ na ‘Kieleweke’ wakosa adabu kuraruana kanisani
Na CHARLES WASONGA MGAWANYIKO ndani ya chama cha Jubilee uliendelea kushuhudiwa Jumapili pale kundi la wabunge wanaegemea mrengo wa Rais...
- by adminleo
- May 12th, 2019
Wazee walaani ‘Tangatanga’ na ‘Kieleweke’
Na JOSEPH WANGUI WAZEE wa jamii ya Agikuyu sasa wanataka makundi ya kisiasa ndani ya chama cha Jubilee yavunjwe huku wakikariri msimamo...