Tag: kifungo
- by adminleo
- November 1st, 2019
Aliyezaba polisi kofi atozwa faini Sh500,000 au jela miaka mitano
Na KALUME KAZUNGU MAHAKAMA ya Lamu imemtoza faini ya Sh500,000 au kifungo cha miaka mitano gerezani mwanamume aliyepatikana na hatia ya...
- by adminleo
- November 30th, 2018
MOSES DOLA: Mwanahabari ndani mwongo mzima kwa mauaji
Na RICHARD MUNGUTI NDOTO na matumaini ya mwanahabari Moses Dola Otieno, kusherehekea Krismasi na Mwaka Mpya na familia yake...
- by adminleo
- November 22nd, 2018
Mwanamume kuozea jela miaka 5,000 kwa mauaji ya halaiki
MASHIRIKA naa PETER MBURU MAHAKAMA moja ya taifa la Guatamela, Amerika ya Kati imemhukumu mwanaume aliyekuwa mwanajeshi miaka ya zamani...
- by adminleo
- August 17th, 2018
Mafuta ya upako yakosa kumwepushia mhubiri kifungo cha maisha
Na TITUS OMINDE MAFUTA ya upako ambayo pasta mmoja alifika nayo mahakamani mjini Elodret hayakumsaidia kuepuka kifungo cha maisha, baada...
- by adminleo
- May 22nd, 2018
Ndani miaka 30 kwa kumuua mfugaji
Na RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA wa kulinda wanyamapori amefungwa jela miaka 30 kwa kumuua mfugaji miaka nane iliyopita katika kitongoji duni...
- by adminleo
- May 16th, 2018
Maafisa 4 ndani miaka 3 kwa wizi na kutumia afisi kujinufaisha
Na RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA Katibu wa Wizara ya Serikali za Wilaya, Sammy Kirui pamoja na maafisa wengine watatu wakuu wa baraza la...