Tag: Kina cha Fikira
- by adminleo
- August 12th, 2020
KINA CHA FIKIRA: Bahati ina sifa ya kuteleza, ikienda hairudi tena!
Na WALLAH BIN WALLAH BAHATI haibagui haichagui! Bahati hutoka kwa Mwenyezi Mungu. Kila mtu ana bahati yake. Lakini hakuna anayejua...
- by adminleo
- July 29th, 2020
KINA CHA FIKIRA: Kisa cha Mlajasho mfano kwa vijana
Na WALLAH BIN WALLAH DAWA ya umaskini ni kazi. Umaskini utaisha tukifanya kazi kwa bidii. Katika nchi yetu, kazi ziko nyingi. Lakini...
- by adminleo
- July 15th, 2020
KINA CHA FIKIRA: Heri adui mwerevu kuliko rafiki mwovu
Na WALLAH BIN WALLAH KADANDIE alikuwa rafiki yangu. Nasema alikuwa rafiki yangu kwa sababu hivi sasa siye rafiki yangu tena....
- by adminleo
- July 1st, 2020
KINA CHA FIKIRA: Usijipalie makaa kwa kuyachezea maisha yako mwenyewe
Na WALLAH BIN WALLAH KITENDO chochote anachokitenda mwanadamu maishani, kikiwa kizuri au kibaya, ni kwa ajili yake yeye...
- by adminleo
- May 27th, 2020
KINA CHA FIKIRA: Ubora wa mtu daima huwa ni mtu mwenyewe
Na WALLAH BIN WALLAH KATIKA maisha ubora wa mtu umo ndani ya mtu mwenyewe. Mtu akitaka kuwa bora au akitaka kuwa mtaalamu katika kazi...
- by adminleo
- May 20th, 2020
KINA CHA FIKIRA: Kusomasoma ni hazina kuu ya maarifa maishani
Na WALLAH BIN WALLAH KATIKA maisha ukitaka uwe na maarifa mengi, busara, elimu na ujuzi mpevu kichwani kuhusu mambo mengi, soma sana...
- by adminleo
- April 29th, 2020
KINA CHA FIKIRA: Kiswahili kitafana iwapo wanahabari watazidisha utashi
Na KABRASHA LA HISTORIA WIKI jana (Juma la kwanza Mei, 2019) katika Taasisi ya Confucius, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kulifanyika...
- by adminleo
- April 17th, 2020
KAULI YA WALIBORA: Korona ni baniani akuzaye msamiati wa Kiswahili
NA PROF KEN WALIBORA KWEMA msomaji wangu mpendwa? Nashukuru sana kwa shauku yako ya kusoma safu hii kila wiki tangu 2016. Kariha yangu...
- by adminleo
- April 17th, 2020
KAULI YA WALIBORA: Mbona twaogopa kukiuka haki za wauaji wa lugha?
NA PROF KEN WALIBORA HII ni enzi ya uhuru na haki. Katika enzi hii nimeona watoto wa shule za msingi wakiandamana na mabango yenye...
- by adminleo
- March 18th, 2020
KINA CHA FIKIRA: Korona ya kuenzi Kiingereza inaua Kiswahili chetu
Na KEN WALIBORA MARADHI ya Korona yalifika Nairobi nikiwa Nairobi. Yamefika Dar es Salaam na Zanzibar nikiwa Pemba. Kwa hakika...
- by adminleo
- March 11th, 2020
KINA CHA FIKIRA: Malimbukeni wa tafsiri wasioomba kukwamuliwa ni hatari kwa tasnia hiyo
Na KEN WALIBORA SIKU hizi ukiona mtu akiuliza kisawe cha Kiswahili cha neno na usemi wa Kiingereza basi yamkini amepata kazi ya...
- by adminleo
- March 4th, 2020
KINA CHA FIKIRA: Kwa nini Kiswahili sanifu hakipati mwanya wa matumizi katika nafasi za umma?
Na KEN WALIBORA “USIKAE tu bila job. Tutakusaidia kwenda majuu upate job.” Hivyo ndivyo bango moja linalokingama barabara ya...