Tag: kirinyaga
Watu 10,000 pekee kuhudhuria sherehe za Mashujaa Kirinyaga
Na GEORGE MUNENE WATU 10,000 pekee ndio wanaotarajiwa kuhudhuria sherehe za Mashujaa ambazo zitafanyika Oktoba 20 katika uga wa...
- by adminleo
- July 1st, 2020
BAJETI: Waiguru akatwa miguu na MCAs
Na GEORGE MUNENE MADIWANI wa Kirinyaga sasa wameamua kutumia mamlaka yao kumwadhibu Gavana Anne Waiguru kwa kumpunguzia mgao wa fedha...
- by adminleo
- June 12th, 2020
Seneti yapendekeza kamati ya wanachama 11 kuchunguza hoja ya kutimuliwa Waiguru
Na CHARLES WASONGA BUNGE la Seneti limependekeza kubuniwe kamati maalum ya wanachama 11 kuchunguza madai ya madiwani waliopitisha hoja...
- by adminleo
- June 9th, 2020
Madiwani wapitisha hoja ya kumbandua Waiguru
Na GEORGE MUNENE MADIWANI wa Kirinyaga wapitisha hoja ya kumbandua Gavana Anne Waiguru baada ya kikao cha kujadili hoja hiyo...
- by adminleo
- July 17th, 2018
Polisi wategua kitendawili cha vifo vya wawili ndani ya kanisa
Na MWANGI MUIRURI MAAFISA wa polisi katika Kaunti ya Kirinyaga wameeleza kuwa mwanamume na mwanamke ambao miili yao ilipatikana ndani ya...
- by adminleo
- July 16th, 2018
Kioja miili ya mwanamume na mwanamke kupatikana na kondomu ndani ya kanisa
Na MWANGI MUIRURI MAAFISA wa polisi katika Kaunti ya Kirinyaga wanachunguza kisa ambapo miili ya mwanamume na mwanamke iliyokuwa uchi wa...
- by adminleo
- June 19th, 2018
Karua atakiwa kushirikiana na Waiguru
Na KNA KIONGOZI wa Narc-Kenya Martha Karua ameraiwa kukubali uamuzi wa mahakama kwamba Gavana wa Kirinyaga Anne Waiguru alichaguliwa...
- by adminleo
- April 24th, 2018
Karua ataka korti iagize upya vifaa vya kura Kirinyaga vikaguliwe
Na JOSEPH WANGUI KIONGOZI wa Chama cha Narc Kenya, Bi Martha Karua, anataka maagizo mapya ya korti kuhusu ukaguzi wa vifaa vya uchaguzi...
- by adminleo
- April 9th, 2018
Hali si shwari: Waiguru ayumbishwa na kimbunga cha siasa
Na WANDERI KAMAU GAVANA wa Kirinyaga, Anne Waiguru wa Kirinyaga amejipata tena katika utando wa kisiasa, hali inayohatarisha kipindi...
- by adminleo
- March 20th, 2018
Waiguru na Karua wabanana mahakamani
Na RICHARD MUNGUTI GAVANA wa Kirinyaga Anne Waiguru ameonekana kuwa na nia ya kutumia njia ya mkato kutetea ushindi wake hata baada ya...
- by adminleo
- March 18th, 2018
JAMVI: Wimbi la ‘minjiminji’ layeyuka kama mvuke huku wakazi wakimkosoa Waiguru
Na WANDERI KAMAU Kwa ufupi: Baadhi ya changamoto zinazomwandama Bi Waiguru zinatokana na tofauti zake na viongozi wengi wa eneo...
- by adminleo
- February 11th, 2018
Kamishna atahadharisha viongozi dhidi ya siasa kuingizwa katika ujenzi wa bwawa
Na Kenya News Agency KAMISHNA wa Kaunti ya Kirinyaga Birik Mohammed amehimiza viongozi kutoingiza siasa katika mradi wa Sh19 bilioni wa...