Tag: kitanzi
SAMMY WAWERU: Visa vya askari kujiua na kuangamiza wenzao vichunguzwe
Na SAMMY WAWERU KATIKA siku za hivi karibuni visa vya askari kujiua kwa silaha wanazotumia kuimarisha usalama na pia kuangamiza wenzao...
Aliyetekeleza shambulizi Chuo cha Garissa ajinyonga selini
Na MARY WAMBUI RAIA wa Tanzania Rashid Charles Mberesero aliyehukumiwa kifungo cha maisha mwaka 2019 baada ya kupatikana na hatia ya...
- by adminleo
- March 30th, 2020
CORONA: Waziri wa Fedha Ujerumani ajiua
MASHIRIKA NA FAUSTINE NGILA WAZIRI wa mmoja nchini Ujerumani amejiua baada ya kuelezea kulemewa kupata mikakakati ya kufufua uchumi wa...
- by adminleo
- March 27th, 2020
CORONA: Mwanamke aliyetengwa kwa lazima ‘ajitia kitanzi’ Nakuru
NA ERIC MATARA MWANAMKE wa miaka 27 kutoka nchini Afrika Kusini aliyekuwa ametengwa kwa lazima kwa siku 14 mjini Nakuru amepatikana...
- by adminleo
- November 24th, 2019
Mwili wa polisi aliyetoweka wapatikana ukining’inia mtini
Na JACOB WALTER MWILI uliokuwa umeanza kuoza wa afisa wa polisi aliyetoweka mnamo Novemba 18, 2019, ulipatikana Ijumaa ukining’inia...
- by adminleo
- November 14th, 2019
MAKALA MAALUM: Nyandarua yalemewa na visa vya mauaji na kujitia kitanzi
Na WAIKWA MAINA MAKABURI matatu katika lango kuu la shamba na nyumbani mwa Bi Margaret Wambui yamesalia kuwa kumbukumbu ya majonzi ya...
- by adminleo
- July 9th, 2019
Mwaniaji urais aliyejaribu kujiua kujua hatima yake Agosti
Na RICHARD MUNGUTI MWANIAJI kiti cha urais mwaka wa 2017 wa kujitegemea Bw Peter Solomon Gichira atajua hatima ya kesi inayomkabili ya...
- by adminleo
- June 9th, 2019
TAHARIRI: Visa vya polisi kujiua nchini vichunguzwe
NA MHARIRI Tusemezane ukweli. Ongezeko la visa vya maafisa wa polisi kujitoa uhai na kuua watu wa familia zao linatisha. Kuna hatari ya...
- by adminleo
- June 5th, 2019
Wazazi wamshangaa msichana aliyekunywa sumu shuleni
OSCAR KAKAI na ANTHONY KITIMO MWANAFUNZI wa Shule ya Msingi ya Nasokol, Kaunti ya Pokot Magharibi amefariki huku mwenzake akilazwa...
- by adminleo
- June 2nd, 2019
Nini hasa ndicho kiini cha mtu kujitia kitanzi?
Na MWANGI MUIRURI KUAMUA kujiua kumehusishwa sana na shida ya kiakili. Kuna wadadisi ambao hushikilia kuwa shida hiyo ambayo huishia...
- by adminleo
- January 9th, 2019
Mama ajiua kwa kukosa karo ya mwanawe
Na BONIFACE MWANIKI MWANAMKE wa miaka 37 alijitia kitanzi Jumatano asubuhi katika Kaunti ya Kitui baada ya kukosa karo ya kumpeleka...
- by adminleo
- November 7th, 2018
Askari wa Utawala amuua mkewe kabla kujiua kwa risasi
Na JOSEPH OPENDA AFISA wa polisi wa utawala katika kambi ya Piave, Kaunti ya Nakuru, alimuua mkewe kwa kumpiga risasi kisha akajiua kwa...