Tag: KODI
- by T L
- October 29th, 2021
Makueni yapinga agizo Taveta itoze kodi Mtito
Na PHILIP MUYANGA SERIKALI ya Kaunti ya Makueni, imepinga agizo la mahakama ambalo liliipa Serikali ya Kaunti ya Taita Taveta mamlaka ya...
TAHARIRI: Kurudisha kodi ni pigo kwa Wakenya
NA MHARIRI HATUA ya serikali ya kupunguza kodi za bidhaa (VAT) na mapato (PAYE) na ushuru kwa kampuni mnamo Aprili mwaka huu iliwafaidi...
- by adminleo
- July 24th, 2020
Miezi mitatu wakiishi kichakani baada ya kukosa kodi
Na MWANDISHI WETU MWANAMUME na mwanawe, ambao wamekuwa wakilala kichakani katika Kaunti ya Machakos, baada ya kutimuliwa kwa nyumba...
- by adminleo
- July 14th, 2020
Mama, mtoto wafungiwa na ajenti kwa kushindwa kulipa kodi
Na PHYLLIS MUSASIA WAKAZI wa Egerton, Njoro katika Kaunti ya Nakuru wamewashutumu polisi kwa kumwachilia huru ajenti wa nyumba...
- by adminleo
- June 4th, 2020
Mahangaiko mitaani watu wakikosa kodi
Na SAMMY WAWERU Visa vya malandilodi kubomolea wapangaji mapaa ya nyumba, kuwafungia milango na hata kuwafurusha kwa kulemewa kulipa...
- by adminleo
- April 20th, 2020
Ang’olewa paa la nyumba kwa kuchelewa kulipa kodi ya Aprili
Na CHARLES WASONGA MPANGAJI mmoja katika mtaa wa Kariobangi South, Nairobi Jumatatu aling’olewa paa la nyumba kwa kuchelewa kulipa...
- by adminleo
- April 20th, 2020
Wakazi waomba malandilodi wakome kuwaitisha kodi kwani ‘hali ni mbaya’
NA RICHARD MAOSI Wakazi katika mtaa wa Langalanga kaunti ya Nakuru wameelezea hofu ya kufurushwa kwenye nyumba za kupangaendapo hawatalipa...
- by adminleo
- April 10th, 2020
Waliochelewa kulipa kodi watupwa nje Juja
Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa kijiji cha Witeithie, Juja, Kaunti ya Kiambu, wameanza kufurushwa kutoka kwa nyumba zao baada ya kutolipa...
- by adminleo
- April 8th, 2020
Malandilodi Nakuru watisha kung’oa milango kwa wanaolemewa kulipa kodi
NA RICHARD MAOSI Wakazi katika mtaa wa Langalanga kaunti ya Nakuru siku ya Ijumaa walielezea hofu ya kufurushwa kwenye nyumba za...
- by adminleo
- March 22nd, 2020
Corona: Hatua ya landilodi kuwaondolea wapangaji kodi yachangamsha wengi
Na MACHARIA MWANGI MMILIKI mmoja wa nyumba mjini Ndunyu Njeru katika eneobunge la Kinangop, Kaunti ya Nyandarua, amewaondolea kodi ya...
- by adminleo
- January 3rd, 2020
Kodi: Serikali yalenga ‘mahasla’
Na BENSON MATHEKA HALI ya maisha inatarajiwa kuwa ngumu hata zaidi kwa Wakenya wanaotegemea biashara za mitaani baada ya serikali kuanza...
- by adminleo
- May 20th, 2019
Demu amzaba kofi landilondi kwa kukatalia deposit
Na TOBBIE WEKESA ZIMMERMAN, NAIROBI KIZAAZAA kilizuka kwenye ploti moja mtaani hapa baada ya kipusa kumzaba kofi landilodi alipokataa...