Tag: kondomu
- by adminleo
- October 3rd, 2019
Tahadhari yatolewa kuhusu kondomu mbovu
NASIBO KABALE na ANGELA OKETCH MAMLAKA ya Kusambaza Dawa Nchini (KEMSA) imeagiza maduka kurejesha kondumu aina za 'Sure' kwa kutofikia...
- by adminleo
- September 23rd, 2019
Hofu HIV kuongezeka wakazi kukataa kondomu
Na KALUME KAZUNGU SERIKALI ya Kaunti ya Lamu imeeleza hofu kuhusu idadi kubwa ya wakazi na wageni ambao hawapendi kutumia mipira ya...
- by adminleo
- February 20th, 2019
Maandamano kupinga wanafunzi kupewa kondomu yanukia
NA TITUS OMINDE BARAZA la Maimamu na Wahubiri wa Kiislamu (CIPK) eneo la North Rift limetishia kuandaa maandamano kupinga mipango ya...
- by adminleo
- February 18th, 2019
Sababu ya serikali kuweka mpango wa kuwapa wanafunzi kondomu
Na CHARLES LWANGA SERIKALI itawapa wanafunzi wa shule za sekondari na vyuo mipira ya kondomu katika juhudi za kukabiliana na maambukizi...
- by adminleo
- December 27th, 2018
2018: Mwaka wa kondomu feki madukani
Na CAROLYNE AGOSA MWAKA wa 2018 umekuwa mwaka ambao kondomu ziligonga vichwa vya habari huku visa vya mipira feki, duni au chache...
- by adminleo
- December 1st, 2018
Serikali yaondoa kondomu zenye mashimo madukani
Na CAROLYNE AGOSA WIZARA ya Afya imetoa tahadhari dhidi ya matumizi ya kondomu za Fiesta baada ya mipira hiyo ya mapenzi kupatikana kuwa...
- by adminleo
- September 11th, 2018
Kutumia kondomu kukinga simu ni hatari, wavuvi waonywa
Na WINNIE ATIENO WATAALAMU wa kiafya Mombasa Jumanne walionya wavuvi dhidi ya kutumia mipira ya kondomu kuzuia simu zao kuingia maji...
- by adminleo
- August 28th, 2018
KFCB kushtaki runinga zinazopeperusha matangazo ya kondomu
Na PETER MBURU MWENYEKITI wa Bodi ya Kusimamia na Kukadiria Uainishaji wa Filamu nchini (KFCB) Ezekiel Mutua ameelezea kughadhabishwa...
- by adminleo
- July 16th, 2018
Kioja miili ya mwanamume na mwanamke kupatikana na kondomu ndani ya kanisa
Na MWANGI MUIRURI MAAFISA wa polisi katika Kaunti ya Kirinyaga wanachunguza kisa ambapo miili ya mwanamume na mwanamke iliyokuwa uchi wa...
- by adminleo
- February 14th, 2018
Waislamu watakiwa kutumia kondomu
[caption id="attachment_1494" align="aligncenter" width="800"] Mipira ya kujikinga dhidi ya magonjwa ya zinaa na Ukimwi almaarufu kondomu....