Tag: KUNYONGWA
- by adminleo
- February 6th, 2019
Mwalimu aliyenajisi mtoto hadi akamharibu utumbo asubiri kunyongwa
MASHIRIKA Na PETER MBURU MWALIMU kutoka kuzimu ambaye alimnajisi mwanafunzi kwa fujo hadi akamharibu utumbo na kufanyiwa upasuaji...
- by adminleo
- November 15th, 2018
Maafisa wawili wa polisi kunyongwa
Na RICHARD MUNGUTI MAAFISA wawili wa polisi Jumatano walihukumiwa kunyongwa kwa kumuua mwenzao wa kitengo cha Utawala pamoja na jamaa zake...
- by adminleo
- October 30th, 2018
Baba na wanawe wawili kunyongwa kwa kumuua mvulana mchungaji
BRIAN OCHARO Na PETER MBURU BABA na wanawe wawili wa kiume Jumanne walihukumiwa kifo na mahakama moja ya Kwale, baada ya kupatikana na...
- by adminleo
- October 13th, 2018
Haji kubatilisha uamuzi wa kuwaachilia wanajeshi 25 waliopangiwa kunyongwa
PHILIP MUYANGA na CHARLES WASONGA MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji ameruhusiwa kuwasilisha rufaa dhidi ya uamuzi wa...
- by adminleo
- July 31st, 2018
Wafungwa 8,000 wa kunyongwa waliosukumwa jela maisha wahukumiwe upya – Jopo
Na BENSON MATHEKA WAFUNGWA 8,000 waliohukumiwa kunyongwa nchini wakiwemo wale ambao hukumu zao zilibadilishwa kuwa za kufungwa jela...
- by adminleo
- July 31st, 2018
JARIBIO LA MAPINDUZI 1982: Waliopanga njama walivyonyongwa
Na WANDERI KAMAU JUMATANO, Agosti 1, 2018, Kenya itaadhimisha miaka 36 tangu kutokea kwa jaribio la mapinduzi ya kijeshi mnamo...
- by adminleo
- July 30th, 2018
Misri kunyonga watu 75 waliohusika kwa machafuko 2013
Na MASHIRIKA Mahakama ya Misri mnamo Jumamosi iliwahukumu watu 75 kunyongwa, wakiwemo viongozi wa kundi la Muslim Brotherhood. Hukumu...
- by adminleo
- July 19th, 2018
Malkia aliyedunga mchumba kisu mara 25 kunyongwa
Na RICHARD MUNGUTI MALKIA wa urembo katika Gereza la Lang'ata jijini Nairobi mnamo 2016, Ruth Kamande, Alhamisi alihukumiwa kunyongwa...
- by adminleo
- February 14th, 2018
Msemaji wa Machar kunyongwa kwa kujaribu kupindua serikali ya Sudan Kusini
[caption id="attachment_1476" align="aligncenter" width="800"] MSEMAJI wa kiongozi wa waasi Riek Machar, Bw James Gatdet Dak azogwa na...