• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 5:46 PM

Bunge lashutumiwa kwa ‘kumwadhibu’ Zuleikha

Na CHARLES WASONGA MWANAHABARI wa runinga, Janet Mbugua, ameukashifu uongozi wa bunge kufuatia kisa cha Jumatano ambapo Mbunge...

Walimu wataka maeneo ya kunyonyesha

Na NDUNGU GACHANE KUNDI moja la walimu wanawake linaitaka Wizara ya Elimu kubuni maeneo maalum ambapo wanawake walio na watoto wataweza...

Kituo cha kunyonyeshea watoto chazinduliwa

Na WINNIE ATIENO KITUO cha umma kwa wanawake kunyonyesha watoto wao, kimezinduliwa mjini Mombasa, ili kuwapa afueni mamia ya akina mama...

Waiguru aagiza kina mama watengewe vyumba vya kunyonyesha

Na JOSEPH WANGUI GAVANA wa Kirinyaga, Bi Anne Waiguru, ameagiza kuwe na vyumba vya kina mama kuwanyonyesha watoto wao katika makao makuu...

Mwanamke anayedaiwa kuwa na HIV taabani kwa kunyonyesha mtoto wa jirani

Na MERCY KOSKEY MWANAMKE wa miaka 27 Jumanne alishtakiwa katika Mahakama ya Nakuru kwa madai ya kumwambukiza virusi vya Ukimwi mtoto wa...

Hoteli motoni kwa kuzuia mwanamke kunyonyesha

Na BENSON MATHEKA WANAWAKE jijini Nairobi, wanatarajiwa kuandamana kesho kufuatia ripoti kwamba mama mmoja alifurushwa kutoka hotelini...