• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 5:55 AM

Walinzi wa rais wamnyaka mwanamume akinyemelea jukwaani Lamu

ANTHONY KITIMO na VALENTINE OBARA WALINZI wa Rais Uhuru Kenyatta, jana walilazimika kumzingira ghafla katika Kaunti ya Lamu ilipohofiwa...

NEMA: Walionyakua ardhi ufuoni na sehemu ya bahari waonywa Lamu

Na KALUME KAZUNGU WANAOENDELEZA ujenzi wa majumba na miradi mingine kwenye ardhi za ufuo, Kaunti ya Lamu wameamriwa kukoma na kuhama...

Wawili wafariki, mmoja ajeruhiwa kwenye shambulio la al-Shabaab Lamu

Na KALUME KAZUNGU WATU wawili waliuawa huku mmoja akijeruhiwa Jumatatu pale gari walimokuwa wakisafiria lilipokanyaga kilipuzi...

Ulipaji fidia kwa wakazi wa Lamu ni kabla ya Juni

Na ANTONY KITIMO Wakazi wa Lamu walioathiriwa na ujenzi wa bandari sasa wanaweza kutabasamu baada ya Mamlaka ya Bandari ya Kenya (KPA)...

Upanuzi wa uwanja wa ndege wa Manda waanza

NA KALUME KAZUNGU HALMASHAURI ya Usimamizi wa Viwanja vya Ndege nchini (KAA) limeanzisha ukarabati wa uwanja wa ndege wa Manda, Kaunti...

Wakazi waikejeli serikali kusitisha usambazaji wa maji

NA KALUME KAZUNGU WAKAZI wa vijiji vya Witu na viungani mwake wameikejeli serikali ya Kaunti ya Lamu kwa kusitisha ghafla huduma ya...

Usalama waimarishwa katika mpaka wa Kenya na Somalia watahiniwa wakifanya KCPE

Na KALUME KAZUNGU SERIKALI imeimarisha usalama kwenye mpaka wa Kenya na Somalia wakati huu ambapo mtihani wa kitaifa wa Darasa la Nane...

Wanaoendeleza ukeketaji Lamu wazimwa

NA KALUME KAZUNGU KAMPENI dhidi ya ukeketaji ambayo imekuwa ikiendelezwa na wanajamii na maafisa wa utawala kwenye vijiji mbalimbali vya...

Tisho la baa la njaa kutokana na ukosefu wa maji Lamu

NA KALUME KAZUNGU UHABA wa maji unaokumba vijiji vingi vya kaunti ya Lamu umewasukuma wakazi wengi kulala njaa katika wiki za hivi...

Mradi wa ujenzi wa kituo cha elimu na mafunzo kukabiliana na itikadi kali na ugaidi wazinduliwa Lamu

Na KALUME KAZUNGU SERIKALI imezindua mradi wa Sh347 milioni wa ujenzi wa kituo maalum cha elimu na taasisi ya kiufundi kusaidia...

Simba aua mbuzi na kondoo katika vijiji kadhaa Lamu

Na KALUME KAZUNGU TAHARUKI imetanda kwenye vijiji vya Tewe, Swabaha, Lake Amu na Baharini, tarafa ya Mpeketoni, Kaunti ya Lamu baada ya...

Kisiwa cha matajiri ‘kuwafuga’ maskini

Na KALUME KAZUNGU KISIWA kidogo cha Ras Kitau katika Kaunti ya Lamu ni eneo ambalo ni vigumu mno kupata mlalahoi anayemiliki kipande...