Tag: LAPSSET
- by adminleo
- January 7th, 2020
Wafanyakazi 2,000 mradi wa Lapsset watumwa nyumbani, waambiwa wasubiri neno la mwajiri
Na KALUME KAZUNGU WAFANYAKAZI zaidi ya 2,000 wanaoendeleza ujenzi wa mradi wa Bandari Mpya ya Lamu (Lapsset) wametumwa nyumbani ghafla...
- by adminleo
- October 28th, 2019
Wakazi Lamu sasa watisha kuandamana kuhusu bandari
Na KALUME KAZUNGU WAKAZI wa Lamu na viongozi wao wametoa makataa ya siku saba kwa serikali kutatua mizozo yote kuhusu mradi wa Bandari...
- by adminleo
- January 14th, 2019
LAPSSET: Serikali yakana madai ya kubagua vijana katika ajira
Na KALUME KAZUNGU SERIKALI ya kitaifa imekanusha madai kwamba vijana wa Lamu wanabaguliwa katika ajira kwenye ujenzi unaoendelea wa...
- by adminleo
- January 2nd, 2019
LAPSSET: Ujenzi wa bandari ya Lamu ulivyoboresha maisha ya polisi
NA KALUME KAZUNGU UJENZI unaoendelea wa Mradi wa Bandari Mpya ya Lamu (LAPSSET) katika eneo la Kililana, Kaunti ya Lamu umesaidia pakubwa...
- by adminleo
- August 28th, 2018
Mchujo mpya kwa wavuvi 4000 kabla ya kufidiwa na LAPSSET
NA KALUME KAZUNGU WAVUVI zaidi ya 4000 walioathiriwa na ujenzi wa mradi wa bandari mpya ya Lamu (LAPSSET) sasa watalazimika kupitia upya...
- by adminleo
- August 13th, 2018
Wahudumu wa boti wataka LAPSSET iwafidie
NA KALUME KAZUNGU WAHUDUMU wa boti na mashua kaunti ya Lamu wanaitaka serikali kupitia halmashauri ya bodi ya usimamizi wa ujenzi wa...
- by adminleo
- August 2nd, 2018
Ziara ya ghafla ya Rais Kenyatta kaunti ya Lamu
NA KALUME KAZUNGU RAIS Uhuru Kenyatta Jumatano alifanya ziara ya ghafla kaunti ya Lamu ambapo alikagua miradi mbalimbali inayoendelezwa...