• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 6:55 AM

Leon Goretzka na Declan Rice kati ya wanasoka 5 wanaoviziwa sasa na Man-United

Na MASHIRIKA SIKU moja baada ya kuafikiana na Borussia Dortmund kuhusu uhamisho wa kiungo mvamizi Jadon Sancho kutoka ugani Signal Iduna...

Ujerumani yakomoa Iceland 3-0

Na MASHIRIKA KAI Havertz na Ilkay Gundogan walifunga bao kila mmoja na kusaidia Ujerumani kuanza vyema kampeni zao za kufuzu kwa fainali...

Ujerumani walaza Ukraine na kuvuna ushindi wa kwanza katika kivumbi cha Uefa Nations League

Na MASHIRIKA UJERUMANI walisajili ushindi wao wa kwanza katika kipute cha Uefa Nations League kwa kupepeta Ukraine 2-1 katika mchuano...

UEFA SUPER CUP: Bayern watoka nyuma na kulaza Sevilla

Na MASHIRIKA BAYERN Munich walihitaji bao la Martinez Aguinaga katika muda wa ziada kuwapiga Sevilla 2-1 katika gozi la kuwania taji la...

Goretzka ainusuru Ujerumani kupigwa

Na MASHIRIKA BERLIN, Ujerumani LEON Goretzka alisaidia kocha Joachim Loew kukwepa kichapo alipofungia Ujerumani bao la kusawazisha 1-1...