• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 9:40 PM

Shujaa na Lionesses watiwa katika makundi ya kifo ya Olimpiki

Na GEOFFREY ANENE KENYA Shujaa na Kenya Lionesses zimetiwa katika makundi moto ya raga ya wachezaji saba kila upande ya Michezo ya...

Shujaa, Lionesses wala rungu kali fainali ya Madrid Sevens

Na GEOFFREY ANENE TIMU za taifa za raga ya wachezaji saba kila upande za Kenya Shujaa na Lionesses zilipokea vichapo vikali dhidi ya...

Lionesses waalikwa kushiriki Raga za Dunia Canada

Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya raga ya wanawake ya Kenya almaarufu Lionesses imepata mwaliko kushiriki duru ya saba ya Raga za Dunia...

Binti kiungo wa Lionesses anavyonoa makali yake

NA RICHARD MAOSI Mchezo wa raga unaendelea kupata umaarufu mkubwa kote nchini kutokana na ufuasi mkubwa wa mashabiki, wanaondelea...

Kenya Lionesses yaruka Fiji katika viwango vya dunia

Na GEOFFREY ANENE LIONESSES ya Kenya imeingia mduara wa 25-bora kwenye viwango bora vya dunia vya raga ya wanawake ya wachezaji 15 kila...

Lionesses yaimarisha maandalizi kwa mechi za kufuzu kushiriki Kombe la Dunia

Na GEOFFREY ANENE MABINGWA wa raga ya wachezaji saba kila upande barani Afrika, Kenya wameimarisha matayarisho, huku wakiwa na matumaini...

Lionesses yang’ata Uganda, Hong Kong na Papua New Guinea

Na GEOFFREY ANENE KENYA Lionesses imeonyesha ukatili wake kwa kung’ata Uganda 24-0, Hong Kong 36-5 na Papua New Guinea 20-10 katika...

Lionesses watiwa kundi ngumu Dubai Sevens

Na GEOFFREY ANENE LIONESSES ya Kenya imetiwa katika ‘kundi la kifo’ kwenye duru ya Dubai Sevens ya Raga ya Dunia ya msimu 2018-2019...

Lionesses kuleta ubingwa nyumbani

Na GEOFFREY ANENE MABINGWA wapya wa Bara Afrika wa raga ya wachezaji saba kila upande, Kenya Lionesses, wanatarajiwa nchini Jumatatu jioni...

Wanne waitwa kuwasaidia Lionesses kutamba Botswana

Na GEOFFREY ANENE KOCHA Kevin Wambua amejumuisha wachezaji wanne wapya katika kikosi cha Kenya Lionesses kitakachowania ubingwa katika...

Afrika Kusini wajiondoa kwa kipute cha raga ya wanawake Botswana

Na GEOFFREY ANENE BAADA ya kuaibishwa mara mbili na Lionesses ya Kenya, miamba Afrika Kusini sasa wamejiondoa kwenye kinyang’anyiro cha...

GOLD COAST AUSTRALIA: Lionesses wamumunywa kama pipi na New Zealand

Na GEOFFREY ANENE LIONESSES ya Kenya imeanza kampeni yake ya raga ya wachezaji saba kila upande ya Michezo ya Jumuiya ya Madola kwa...