Tag: lionesses
Shujaa na Lionesses watiwa katika makundi ya kifo ya Olimpiki
Na GEOFFREY ANENE KENYA Shujaa na Kenya Lionesses zimetiwa katika makundi moto ya raga ya wachezaji saba kila upande ya Michezo ya...
Shujaa, Lionesses wala rungu kali fainali ya Madrid Sevens
Na GEOFFREY ANENE TIMU za taifa za raga ya wachezaji saba kila upande za Kenya Shujaa na Lionesses zilipokea vichapo vikali dhidi ya...
- by adminleo
- January 24th, 2020
Lionesses waalikwa kushiriki Raga za Dunia Canada
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya raga ya wanawake ya Kenya almaarufu Lionesses imepata mwaliko kushiriki duru ya saba ya Raga za Dunia...
- by adminleo
- September 15th, 2019
Binti kiungo wa Lionesses anavyonoa makali yake
NA RICHARD MAOSI Mchezo wa raga unaendelea kupata umaarufu mkubwa kote nchini kutokana na ufuasi mkubwa wa mashabiki, wanaondelea...
- by adminleo
- August 19th, 2019
Kenya Lionesses yaruka Fiji katika viwango vya dunia
Na GEOFFREY ANENE LIONESSES ya Kenya imeingia mduara wa 25-bora kwenye viwango bora vya dunia vya raga ya wanawake ya wachezaji 15 kila...
- by adminleo
- May 19th, 2019
Lionesses yaimarisha maandalizi kwa mechi za kufuzu kushiriki Kombe la Dunia
Na GEOFFREY ANENE MABINGWA wa raga ya wachezaji saba kila upande barani Afrika, Kenya wameimarisha matayarisho, huku wakiwa na matumaini...
- by adminleo
- April 4th, 2019
Lionesses yang’ata Uganda, Hong Kong na Papua New Guinea
Na GEOFFREY ANENE KENYA Lionesses imeonyesha ukatili wake kwa kung’ata Uganda 24-0, Hong Kong 36-5 na Papua New Guinea 20-10 katika...
- by adminleo
- October 23rd, 2018
Lionesses watiwa kundi ngumu Dubai Sevens
Na GEOFFREY ANENE LIONESSES ya Kenya imetiwa katika ‘kundi la kifo’ kwenye duru ya Dubai Sevens ya Raga ya Dunia ya msimu 2018-2019...
- by adminleo
- May 28th, 2018
Lionesses kuleta ubingwa nyumbani
Na GEOFFREY ANENE MABINGWA wapya wa Bara Afrika wa raga ya wachezaji saba kila upande, Kenya Lionesses, wanatarajiwa nchini Jumatatu jioni...
- by adminleo
- May 24th, 2018
Wanne waitwa kuwasaidia Lionesses kutamba Botswana
Na GEOFFREY ANENE KOCHA Kevin Wambua amejumuisha wachezaji wanne wapya katika kikosi cha Kenya Lionesses kitakachowania ubingwa katika...
- by adminleo
- May 15th, 2018
Afrika Kusini wajiondoa kwa kipute cha raga ya wanawake Botswana
Na GEOFFREY ANENE BAADA ya kuaibishwa mara mbili na Lionesses ya Kenya, miamba Afrika Kusini sasa wamejiondoa kwenye kinyang’anyiro cha...
- by adminleo
- April 14th, 2018
GOLD COAST AUSTRALIA: Lionesses wamumunywa kama pipi na New Zealand
Na GEOFFREY ANENE LIONESSES ya Kenya imeanza kampeni yake ya raga ya wachezaji saba kila upande ya Michezo ya Jumuiya ya Madola kwa...